Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Ulisema Ile habari ni umbea Wa mitaani. Nilipoweka Link ukakimbia.Nimekimbia wapi wakati umekwisha jibiwa kuhusu swali langu la ritirement age au hausomi unavyo andikiwa kwenye nyuzi zako ?
Dogo unajitoa ufahamu ?
Punguza mihemko.Kwa akili zako za kipuuzi India mafuta anayo nunua Russia yanaweza tenganishwa haya ya matumizi yake haya anapaswa kuwauzia EU anapangiwa na hao hao EU ?
Kwa hiyo kwako kitu kikiwa na link basi sio umbea ? Dogo unaakili ndogo sanaUlisema Ile habari ni umbea Wa mitaani. Nilipoweka Link ukakimbia.
Ule uzi haukuhusu mambo ya kustaafu Sasa wewe mambo ya kustaafu umeyatoa wapi?
Wewe ni mjinga biashara ya China na Russia kuhusu mafuta ni Open, biashara ya mafuta kati ya Russia na India ni open.Punguza mihemko.
Kwa nini isiwezekane wakati idadi yake inafahamika?
Halafu haya yanayouzwa India na Urusi yanauzwa kinyemela.
Ili habari isiwe umbea inatakiwa iweje?Kwa hiyo kwako kitu kikiwa na link basi sio umbea ? Dogo unaakili ndogo sana
Chombo chochote cha habari ndiyo nini??Sio kila kijihabari chenye link toka chombo chochote cha habari ni ina mashiko vingine ni udaku.
Kustaafu ndiyo kukoje??Ile habari haina mahusiano ya kustaff ? Ila inaongelea habari za outdated age katika kazi China . dogo unajitambua kweli ?
Kukosa ajira kwa sababu umri miaka 35 ambao upo kwenye mfumo wa ajira wewe unasema haupo. Unajielewa kweli dogo ?Ili habari isiwe umbea inatakiwa iweje?
Chombo chochote cha habari ndiyo nini??
Kustaafu ndiyo kukoje??
Ile habari ilizungumzia watu kukosa ajira kutokana na umri wao kuwa miaka 35 na siyo mambo ya kustaafu.
Swali zuriuna umri gani?
Hiyo kazi yako kutafutaUSA na EU wanategemea nani?
Kukosa ajira kwa sababu umri miaka 35 ambao upo kwenye mfumo wa ajira wewe unasema haupo. Unajielewa kweli dogo ?
Kukosa ajira kwa sababu ya umri kuwa outdated inabidi I apply kwa hao wenye age 55, 60 sio hizo taka taka zako za 35 hivi unaielewa 35 age kweli ?
Myukreni wa namtumbo kaja na hamaki.Dogo wewe mjinga sana unaokoteza vijihabari vya ajabu mitandaoni.
Mbona inafahamika importers wakubwa wa mafuta ya Russia tokea vita vyake na Ukraine vianze ni India na China na lipo wazi wala sio vificho.
India hanunui mafuta kutoka Urusi Kwa magendo ananunua Kwa uwazi na hao mabeberu wananunua kimagendo kukwepa Sheria walizojiwekea wenyewe mwisho Dola milioni 120 ni Hela ndogo sana hasa Kwa giant wa mafuta kama Urusi nakushauri kakiulize vizuri chanzo chako Cha taarifa ulete upyaImegundulika kuwa Urusi inapeleka mafuta yake Bahari Kuu (Deep Sea) na kuyapakia kwenye meli nyingine na mafuta hayo hupelekwa India kuchakatwa.
Kama inauza kwa siri wewe umejuaje?
mleta mada kashasema imegundulika huyoo kiazi mwenzako anauliza amejuaje?
EU na USA hawawezi kulikimbia soko la mataifa ya BRICS 36% ya uchumi wa dunia umeshikiliwa na BRICSHiyo kazi yako kutafuta
Mafuta ya Urusi hadi Marekanianayanunua tena kwa wingi tangu Urusi iwekewe vikwazo.Ile ya miaka 35 China kukosa kazo ulikimbiana huku pia utakimbia.
Unajua kwamba India mafuta inayonunua Urusi hairuhusiwi kuyauza EU au US.
India inatakiwa kununua mafuta Kwa matumizi yake yenyewe na siyo kuisadia Urusi kuuza mafuta yake kinyemela.
Deep sea biashara ya wese kawaida sana wenyew wanaita mnyonyoUrusi imebambwa inauza uchochoroni mafuta inayozalisha.
Imegundulika kuwa Urusi inapeleka mafuta yake Bahari Kuu (Deep Sea) na kuyapakia kwenye meli nyingine na mafuta hayo hupelekwa India kuchakatwa.
Mafuta hayo yakichakatwa hupelekwa Uingereza kuuzwa kwa makampuni yauzayo mafuta ya ndege.
Inakadiriwa kuwa tangu Urusi iwekewe vikwazo imeshajipatia zaidi ya Paundi milioni 120 Kwa njia Hiyo ya uuzaji mafuta kwa magendo.
Kwa nini Urusi isiwauzie mafuta watu wa BRICS badala ya kuhangaika kuuza mafuta yake kimagendo kwa nchi za mabeberu?