kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Vitu vingi vinatatiza makomandoo wa Yanga wanaamini ulozi sana kuliko timu yeyote hapa bongo mchezaji wao asipofunga wanasema amerogwa.
Wao muda wote wazee wa timu ni kuzungumzia uchawi tu na kuogopa kurogwa hata hii mechi ya kesho tayari wana kundi la waganga nchi nzima kuchanganya na hongo kwa waamuzi wa mchezo swali kwanini nguvu hizo wasi elekeze kwenye michezo ya kimataifa?
Wao muda wote wazee wa timu ni kuzungumzia uchawi tu na kuogopa kurogwa hata hii mechi ya kesho tayari wana kundi la waganga nchi nzima kuchanganya na hongo kwa waamuzi wa mchezo swali kwanini nguvu hizo wasi elekeze kwenye michezo ya kimataifa?