kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Hili ni swali je kwanini huo ulozi hausaidii!Kimataifa Gani CAFCL ambayo timu lako halikushiriki lipo UMISETA kwenye mashindano ya akina mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni swali je kwanini huo ulozi hausaidii!Kimataifa Gani CAFCL ambayo timu lako halikushiriki lipo UMISETA kwenye mashindano ya akina mama
Mlijuaje kama wachawi huo uchawi kwanini hausadii mechi za kimataifa!Wachawi ni Hawa wa Leo waliokuwa kwenye basi la BM wamejaza wazee kibao usiku usiku awaeleweki walitaka kuingia uwanjani kufanya nini wamepigwa stop wamechanganyikiwa
Umetusaidia tumekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5Hili ni swali je kwanini huo ulozi hausaidii!
Mazoezi Gani Simba wanataka kuingiza timu na maiti na mbuzi hai uwanjaniMlijuaje kama wachawi huo uchawi kwanini hausadii mechi za kimataifa!
Wapo kimataifa hapo hawa yanga wachawi wakuu hapa nchini mbona hawafiki popote!Nyie mkiamua lenu hamnaga aibu hata ugenini mnafanya yenu.
View attachment 3263039
Inaoneka zina wasaidia.
Okay sasa yanga uchawi wa kina mzee mpili mpaka wanajinasibu watamfunga mtu sanda mbona hauwasaidii kimataifa!Mazoezi Gani Simba wanataka kuingiza timu na maiti na mbuzi hai uwanjani
Tano si hoja yanga wamepigwa 5 bila!Umetusaidia tumekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Pia Yanga amecheza CAFCL wakati timu lako lipo mashindano ya akina mama
Kimataifa Gani tumecheza CAFCL wewe uko UMISETAOkay sasa yanga uchawi wa kina mzee mpili mpaka wanajinasibu watamfunga mtu sanda mbona hauwasaidii kimataifa!
Rais akiwa Samia?Tano si hoja yanga wamepigwa 5 bila!
Raisi kikwete!Rais akiwa Samia?
Hiyo mechi Mwenyekiti wa Simba alikuwa huyu MangunguRaisi kikwete!
Cafcl inaendelea hatua ya robo cafcl ipi unayozungumzia wewe!Kimataifa Gani tumecheza CAFCL wewe uko UMISETA
Kwanini uchawi hauwasaidii mechi za kimataifa!Hiyo mechi Mwenyekiti wa Simba alikuwa huyu Mangungu
Mwaka gani huo na walipata nini?Yanga haifanyi vizuri kimataifa [emoji1787]View attachment 3263069
MedaliMwaka gani huo na walipata nini?
Hatumii hivyo kama nyie.Wewe mwenyewe si unakumbuka baada ya hapo CAF wakakupiga faini ya dola 10k.Wapo kimataifa hapo hawa yanga wachawi wakuu hapa nchini mbona hawafiki popote!
Unajua medali wewe....medali ya dhahabu hupewa mshindi wa kwanza zaidi ya hapo yaliyobaki yanashika kutu!Medali
Yanga ushirikina wao unawasaidia nini?Hatumii hivyo kama nyie.Wewe mwenyewe si unakumbuka baada ya hapo CAF wakakupiga faini ya dola 10k.