Kwanini ushirikina wa Yanga hausaidii kufanya vizuri kimataifa?

Kwanini ushirikina wa Yanga hausaidii kufanya vizuri kimataifa?

Wachawi ni Hawa wa Leo waliokuwa kwenye basi la BM wamejaza wazee kibao usiku usiku awaeleweki walitaka kuingia uwanjani kufanya nini wamepigwa stop wamechanganyikiwa
Mlijuaje kama wachawi huo uchawi kwanini hausadii mechi za kimataifa!
 
Hili ni swali je kwanini huo ulozi hausaidii!
Umetusaidia tumekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Pia Yanga amecheza CAFCL wakati timu lako lipo mashindano ya akina mama
 
Mazoezi Gani Simba wanataka kuingiza timu na maiti na mbuzi hai uwanjani
Okay sasa yanga uchawi wa kina mzee mpili mpaka wanajinasibu watamfunga mtu sanda mbona hauwasaidii kimataifa!
 
Umetusaidia tumekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Pia Yanga amecheza CAFCL wakati timu lako lipo mashindano ya akina mama
Tano si hoja yanga wamepigwa 5 bila!
 
Yanga haifanyi vizuri kimataifa [emoji1787]
images%20(7).jpg
 
Back
Top Bottom