Kwanini usipokuwa umeoa au kuolewa inakuwa ngumu kupata chumba cha kupanga?

Kwanini usipokuwa umeoa au kuolewa inakuwa ngumu kupata chumba cha kupanga?

1) Kufanya usafi wa mazingira

2) Hofu ya kutembea na wake wa wapangaji wenzake ikiwemo maza house

3) Mtu kusepa ghafla,msela ni rahisi kuhama kimya kimya usiku

4) Kujaza masela. Hapa msela anapanga halafu wana ndio wanakuja kuangusha night
Kuuumbe!!!
 
1) Kufanya usafi wa mazingira

2) Hofu ya kutembea na wake wa wapangaji wenzake ikiwemo maza house

3) Mtu kusepa ghafla,msela ni rahisi kuhama kimya kimya usiku

4) Kujaza masela. Hapa msela anapanga halafu wana ndio wanakuja kuangusha night
No 4, siwezi ishi na mpangaji wa namna hiyo, lazima nihame tyuuh.
 
Nilipanga chumba maeneo fulani Dar Kinondoni. Sharti la Mama mwenye nyumba ilikuwa ni kwamba yeye anapangisha Mwanaume ambaye hajaoa tu. Hapangishi aliyeoa wala mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yes, kila mwenye nyumba ana masharti yake.

Wengine hawapangishi vijana wa kiume ( kwamba wana watoto wa kike )

Wengine hawapangishi wanaume wawili chumba au nyumba moja.

Wengine ndio hivyo wanapangisha familia tu, bachela hakuna.

Ila Dar kuna mabachela wa kutosha tu. Tena kuna wengi waliowahi kuoa lakini kutokana na ugumu wa maisha, wamerudisha wake zao mokoani na familia huku wao wakiendelea kudunda Dar.

Kwa Dar chumba kizuri at least na sebure siyo chini ya 60,000 sasa ukianza maisha na mke kwa kazi za kuunga unga unaweza kuona unamudu.

Ila mkifikisha watoto wawili, na mmoja kashakua huku wewe kipato cha kueleweka hujapata inabidi familia uitoe Dar irudi mkoani.

Wewe uendelee kukomaa kibishi mjini, kwasababu kurudi mkoani huna kitu unaona aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.
 
Nikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.
Nilikipenda chumba na nikachukua. Ebana wewe baada ya kuhamia ndio nikagundua mle kulikuwa na wadada wa3 na hawakuwa na waume. Nilikaa kile chumba miaka miwili na nikatoka bila kugusa jirani.
Nadhani mwenye nyumba alikuwa ni mwanamke
 
Nikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.
Nilikipenda chumba na nikachukua. Ebana wewe baada ya kuhamia ndio nikagundua mle kulikuwa na wadada wa3 na hawakuwa na waume. Nilikaa kile chumba miaka miwili na nikatoka bila kugusa jirani.
☕☕
 
Yes, kila mwenye nyumba ana masharti yake.

Wengine hawapangishi vijana wa kiume ( kwamba wana watoto wa kike )

Wengine hawapangishi wanaume wawili chumba au nyumba moja.

Wengine ndio hivyo wanapangisha familia tu, bachela hakuna.

Ila Dar kuna mabachela wa kutosha tu. Tena kuna wengi waliowahi kuoa lakini kutokana na ugumu wa maisha, wamerudisha wake zao mokoani na familia huku wao wakiendelea kudunda Dar.

Kwa Dar chumba kizuri at least na sebure siyo chini ya 60,000 sasa ukianza maisha na mke kwa kazi za kuunga unga unaweza kuona unamudu.

Ila mkifikisha watoto wawili, na mmoja kashakua huku wewe kipato cha kueleweka hujapata inabidi familia uitoe Dar irudi mkoani.

Wewe uendelee kukomaa kibishi mjini, kwasababu kurudi mkoani huna kitu unaona aibu.
Mkoani ndiyo wapi. Dsm siyo mkoa? Acheni ushamba
 
Back
Top Bottom