dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
- #21
Yaan watu wa humu we acha tu..mtu anabisha afu ukute anakaa kwa shemeji akeWatu mnabisha tu ila mimi 2013 nilikataliwa kwenye nyumba kwa sababu niko singo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan watu wa humu we acha tu..mtu anabisha afu ukute anakaa kwa shemeji akeWatu mnabisha tu ila mimi 2013 nilikataliwa kwenye nyumba kwa sababu niko singo.
Kuuumbe!!!1) Kufanya usafi wa mazingira
2) Hofu ya kutembea na wake wa wapangaji wenzake ikiwemo maza house
3) Mtu kusepa ghafla,msela ni rahisi kuhama kimya kimya usiku
4) Kujaza masela. Hapa msela anapanga halafu wana ndio wanakuja kuangusha night
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengi ambao hawajaoa/hawana mwanamke ujue hata hela hawana. Ndio maana wenye nyumba wanawachomolea maana wanajua watakuja kusumbuana tu kwenye kodi.
No 4, siwezi ishi na mpangaji wa namna hiyo, lazima nihame tyuuh.1) Kufanya usafi wa mazingira
2) Hofu ya kutembea na wake wa wapangaji wenzake ikiwemo maza house
3) Mtu kusepa ghafla,msela ni rahisi kuhama kimya kimya usiku
4) Kujaza masela. Hapa msela anapanga halafu wana ndio wanakuja kuangusha night
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilipanga chumba maeneo fulani Dar Kinondoni. Sharti la Mama mwenye nyumba ilikuwa ni kwamba yeye anapangisha Mwanaume ambaye hajaoa tu. Hapangishi aliyeoa wala mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.Yes, kila mwenye nyumba ana masharti yake.
Wengine hawapangishi vijana wa kiume ( kwamba wana watoto wa kike )
Wengine hawapangishi wanaume wawili chumba au nyumba moja.
Wengine ndio hivyo wanapangisha familia tu, bachela hakuna.
Ila Dar kuna mabachela wa kutosha tu. Tena kuna wengi waliowahi kuoa lakini kutokana na ugumu wa maisha, wamerudisha wake zao mokoani na familia huku wao wakiendelea kudunda Dar.
Kwa Dar chumba kizuri at least na sebure siyo chini ya 60,000 sasa ukianza maisha na mke kwa kazi za kuunga unga unaweza kuona unamudu.
Ila mkifikisha watoto wawili, na mmoja kashakua huku wewe kipato cha kueleweka hujapata inabidi familia uitoe Dar irudi mkoani.
Wewe uendelee kukomaa kibishi mjini, kwasababu kurudi mkoani huna kitu unaona aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan watu wa humu we acha tu..mtu anabisha afu ukute anakaa kwa shemeji ake
Nadhani mwenye nyumba alikuwa ni mwanamkeNikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.
Nilikipenda chumba na nikachukua. Ebana wewe baada ya kuhamia ndio nikagundua mle kulikuwa na wadada wa3 na hawakuwa na waume. Nilikaa kile chumba miaka miwili na nikatoka bila kugusa jirani.
Umesikia Bill Gates na mkewe wametangaza kuachana?Pesa ni mwisho wa matatizo
Jipeni moyo tuUmesikia Bill Gates na mkewe wametangaza kuachana?
Moyo wa nini wewe mshindi wa tuzo ya Nobel ya uhifadhi wa mazingira? [emoji1787]Jipeni moyo tu
yaan maisha hayana fomula kabisaUmesikia Bill Gates na mkewe wametangaza kuachana?
☕☕Nikamuuliza sababu akasema wanawake wana majungu sana na wanaume muda mwingi hawakai nyumbani.
Nilikipenda chumba na nikachukua. Ebana wewe baada ya kuhamia ndio nikagundua mle kulikuwa na wadada wa3 na hawakuwa na waume. Nilikaa kile chumba miaka miwili na nikatoka bila kugusa jirani.
Wapi huko? Hakuna kitu km hicho. Labda uko maeneo km ya Pangani.Kwanini usipooa/olewa ngumu kupata chumba cha kupanga?
Lakini sio chumba tu; hata NYUMBA, AJIRA, HESHIMA?
Mkoani ndiyo wapi. Dsm siyo mkoa? Acheni ushambaYes, kila mwenye nyumba ana masharti yake.
Wengine hawapangishi vijana wa kiume ( kwamba wana watoto wa kike )
Wengine hawapangishi wanaume wawili chumba au nyumba moja.
Wengine ndio hivyo wanapangisha familia tu, bachela hakuna.
Ila Dar kuna mabachela wa kutosha tu. Tena kuna wengi waliowahi kuoa lakini kutokana na ugumu wa maisha, wamerudisha wake zao mokoani na familia huku wao wakiendelea kudunda Dar.
Kwa Dar chumba kizuri at least na sebure siyo chini ya 60,000 sasa ukianza maisha na mke kwa kazi za kuunga unga unaweza kuona unamudu.
Ila mkifikisha watoto wawili, na mmoja kashakua huku wewe kipato cha kueleweka hujapata inabidi familia uitoe Dar irudi mkoani.
Wewe uendelee kukomaa kibishi mjini, kwasababu kurudi mkoani huna kitu unaona aibu.