Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For every action there is equal and opposite reaction....the higher you go the higher you will come back.Kabisa unauliza kwanini?
Kwa sababu anapenda kushinda kwenye Twitter akigombana na Democrats, kusambaza conspiracies pamoja kuposti memes.Leo yuko nafasi ya View attachment 2969824nne. Kapitwa na Mark Zuckerberg
Alipanda haraka Sana na anashuka kwa kasi kubwa. Ni kwa nini
Ni kweli.. Baadhi ya watu wanaamini huo ni utajiri wa fedha zilizoko benki kumbe ni thamani ya uwekezaji wake inavyopokewa na soko .Utajiri wao ni wa namba
Share zikiteteleka au kupanda
Basi mmoja anashuka faster na mwingine anapanda faster
Hvyo tunaweza sema kuna mkuu anaamua
Tesla stock imeshuka sana, na sasa wamesema cybertruck zote zilizouzwa zirudishwe zina shida ya pedal ya kuongeza mwendo wa gari.Leo yuko nafasi ya View attachment 2969824nne. Kapitwa na Mark Zuckerberg
Alipanda haraka Sana na anashuka kwa kasi kubwa. Ni kwa nini
We ambae hushindi tweeter una tsh ngapi bank ....au tajiri number ngapi duniani....Kwa sababu anapenda kushinda kwenye Twitter akigombana na Democrats, kusambaza conspiracies pamoja kuposti memes.
Hii ndio sababu kuuTesla stock imeshuka sana, na sasa wamesema cytruck zote zilizouzwa zirudishwe zina shida ya pedal ya kuongeza mwendo wa gari.
EVs za Mchina zinaua soko la Tesla hadi Tesla wanalazimika kushusha bei ili wauze. Mauzo yameshuka sana pia. So, Elon is taking a deeper Dive
Leo yuko nafasi ya View attachment 2969824nne. Kapitwa na Mark Zuckerberg
Alipanda haraka Sana na anashuka kwa kasi kubwa. Ni kwa nini
Daaah!Kwa sababu anapenda kushinda kwenye Twitter akigombana na Democrats, kusambaza conspiracies pamoja kuposti memes.
Nimechoka sanaaa!!Unatuuliza kwa nini mzee baba na sababu imeandikwa hapo kwenye habari uliyo screenshot...
Hongera kwa kuchangia kisomiElon kapanda haraka na wala hajawahi kushuka kwa haraka kulinganisha na upandaji wake, rudi miaka sita nyuma alafua angalia Elon alikuwa tajiri wa ngapi duniani then hio list ya top ten hakuwepo kabisa kama sio 20.
Pia Elon bado project zake zoote zilizompa umaarufu na watu kumuqeka kwenye spotlight bado zijawa LIVE, tels imejifanya kimbelembele tu.
KUuliza sio ujingaKabisa unauliza kwanini?
Una hoja nzuri mkuu ,Utajiri wao ni wa namba
Share zikiteteleka au kupanda
Basi mmoja anashuka faster na mwingine anapanda faster
Hvyo tunaweza sema kuna mkuu anaamua