Kwanini utumie x badala ya s?

Kwanini utumie x badala ya s?

Kitoto kimoja nimekitongoza juzi tena kizuri nikawa najua nimepata mchepuko wa maana alivyo anza kuniandikia huo upuuzi wa xaxa sijui nini, nikapiga chini hapo hapo yaaani sijajibu msg hata moja na simu nimeblock kabisa

Xafi xana michepuko xio dili. . He hehe aisee me huwa wananiudhi acha. . Ila seriously michepuko ni soo , maradhi mengi. .
 
Huu mtindo wa x unanikeraga saaaaaaaaababaaaaana! Asante mtoa mada
 
Back
Top Bottom