Kwanini UTUMISHI inaendelea kuwapa mikataba Watumishi wanaostaafu?

Kwanini UTUMISHI inaendelea kuwapa mikataba Watumishi wanaostaafu?

Mimi ninao ushahidi,huu upuuzi ulianzishwa na Mwendazake..

Tanrods umekithiri,yule marehemu Mfugale alikuwa amestaafu kitambo,Ma Regional Manager wengi Sana wa Tanroads wamestaafu..

Mtendaji mkuu wa Tarura amestaafu kitambo na bado anaongezewa mkataba tuu wakati wengine wapo.

Huu ni Wehu na sababu ni kwamba hao watu huwa ni wanatoa pesa kwa wenye mamlaka na hivyo wanatumia hiyo loop hole.
OK usalama wa taifa vetting ya hao vijana wa kurithi hawakuwa na kashfa za ufisadi popote?

Ofisini ukiona kuna mzee anakaribia kustaafu miaka kumi ijayo kijana unatakiwa ujipange kwa Ku clean plate usiwe fisadi

Succession Plan inachukua 10 years minimum ukijifanya wewe sharp kukwapua ili utoke chapchap utakoma hiyo post yake huchukui
 
OK usalama wa taifa vetting ya hao vijana wa kurithi hawakuwa na kashfa za ufisadi popote?

Ofisini ukiona kuna mzee anakaribia kustaafu miaka kumi ijayo kijana unatakiwa ujipange kwa Ku clean plate usiwe fisadi

Succession Plan inachukua 10 years minimum ukijifanya wewe sharp kukwapua ili utoke chapchap utakoma hiyo post yake huchukui
Wewe kumpa mtu ajira ni vetting tosha,, usalama gani wa Taifa kwenye kusimamia ujenzi wa barabara? By the hao ni administrators tuu sio watendaji wa kazi husika.
 
Waoga sana hao. Hakuna jibu la kuwaelezea.
Laiti wangejua maisha baada ya kustaafu yalivyo mazuri wasingehangaika.

Mdogo mmoja amestaafu ana shop lake kubwa la dawa na vipodozi, ameitwa au tuseme ameomba kurudi ofisini kwa mkataba kaacha biashara yake.

Nilimshangaa,
 
vijana hamueleweki kama mnawaza kunyanduana tu na hata nguvu zenyewe hamna hadi mpake mkongo, mkipewa majukumu ya maana mtaweza kweli? waacheni wazee wapige kazi nyie endeleeni kushinda twita na FB ku like makalio makubwa tu
Acha upumbavu wewe,nyie mazee zaidi ya kwamba mnaonufaika na syndicate ya wizi hakuna kingine mnaweza.

Hata barua tuu hamuwezi kuandika.
 
Habari za mchana wakuu.

Kama swali lilivyouliza; Tetesi na pengine uhakika ni kwamba UTUMISHI wameendelea kuwa na tabia ya kukubali lobying kwa watumishi wanaogopa kustaafu, kuwaongezea mikataba baada kufikisha umri wa kustaafu kwa lazima(kwa mujibu wa sheria na kanuni mbali mbali) yaani miaka 60.

Sote tunajua kwamba Taifa linapitia katika kipindi kigumu sana ya vijana wake wanaohitimu ngazi mbali mbali za elimu kukosa ajira.

Na njia mojawapo ya kutengeneza ajira kwa vijana wake ni walihudumu kwa muda hadi kufikisha miaka 60 ya umri, kustaafu utumishi wao na kwenda nyumbani.

Sasa tabia hii ya kuongeza mikataba imeshakuwa kawaida sana ndani ya UTUMISHI wa umma.

Na hali ni mbaya zaidi ndani ya Taasisi za umma, mashirika ya umma na mamlaka za serikali za uthibiti.

Kama dola ilikuwa haijui hili, basi naomba walitupie jicho.

Tabia hiyo ni hujuma kubwa sana kwa Taifa.

Tunawaongezea wazee ambao nguvu yao ya kuhudumu imeisha. Wakapumzike nyumbani ili nafasi ziwepo kwa ajili ya vijana wenye nguvu.

Tunakubalije lobying za tamaa zao? Kama kwa miaka 30 ya kuhudumu , ataweza kwa miaka mitano au 10?

Sio kuwazibia vijana nafasi ya kupata ajira ndani ya Utumishi wa Umma?

Operation ya kuwaondoa wastaafu wanaoongezewa mikataba ifanyike.

Waende nyumbani ili vijana wapate ajira.
This happens because many employers in Tanzania do not have a clear succession plan. Junior and young employees lack eagerness to learn from their superiors. Once they retire, it is when the vacuum is felt, thus a need comes for re-engagement of retired employees.
 
This happens because many employers in Tanzania do not have a clear succession plan. Junior and young employees lack eagerness to learn from their superiors. Once they retire, it is when the vacuum is felt, thus a need comes for re-engagement of retired employees.
Sasa hiyo success plan itashuka na mvua kama sio hao kuachia ngazi na wengine wawe recruited? Sehemu kubwa hata sio succession plan ni upuuzi na kulinda syndicate ya wizi..

Hivi mtu ni Regional Manager ,hapo chini hakuna Ma District Manager?

Mtu ni CEO wa taasisi hapo chini hakuna Directors wa section wa kuchukua nafasi?

Acheni kutetea upuuzi na mnyororo wa upigaji.
 
This happens because many employers in Tanzania do not have a clear succession plan. Junior and young employees lack eagerness to learn from their superiors. Once they retire, it is when the vacuum is felt, thus a need comes for re-engagement of retired employees.
Inaonekana huna taarifa. Kuna mzee anafanya kazi katika ofisi za umma zaidi ya supervision ya junior staff na leadership?
Ni njaa zao tu na uoga wa maisha ya kitaa. Hakuna kingine.
 
Inaonekana huna taarifa. Kuna mzee anafanya kazi katika ofisi za umma zaidi ya supervision ya junior staff na leadership?
Ni njaa zao tu na uoga wa maisha ya kitaa. Hakuna kingine.
Pia hao watu wanakuwa wametengeneza chain ya upigaji kuanzia kule Wizarani kwa hiyo Hawa wa huku ndio wafanikishaji ndio maana wanaongezeana mikataba.
 
Pia hao watu wanakuwa wametengeneza chain ya upigaji kuanzia kule Wizarani kwa hiyo Hawa wa huku ndio wafanikishaji ndio maana wanaongezeana mikataba.
Jina lako linaeleza uliyoyaandika, purely misconception, huwezi kuajiriwa baada ya kustaafu kama huna vitu vya ziada ambavyo employer wako anavikosa kwenye pool yake ya staff.
 
Back
Top Bottom