Kwanini UTUMISHI wamezuia watumishi wa umma kukopa?

Kwanini UTUMISHI wamezuia watumishi wa umma kukopa?

copyright

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
584
Reaction score
584
WanaJF salam!

Kuanzia mwishoni mwa mwaka jana Utumishi ilizuia mfumo wa manual wa kupitisha makato kwa watumishi wote na kutaka mfumo wa kielectronic kupitia ESS pekee ndo utumike katika kukopa na kupitisha makato kwa maHRO.

Sasa katazo hili ndo linasababisha watumishi kushindwa kuuza madeni kutoka taasis moja kwenda nyingne kwakuwa kwenye mfumo bado hakuna access ya kuruhusu kuuza au kununua deni.

Hii imeleta taaruki kwa watumishi kwakuwa wengi wana madeni ya taasis nyngne na wanataka kuuza kwenda kwa taasis nyngne lakini haiwezekani. Wengine wana madeni ya bodi ya mikopo (ambayo yanakata zaidi ya moja ya tatu) wanataka wayauze taasis nyngne lakini haiwezekani.

Kwa hali hii watumishi tunawaomba Utumishi meuhusu tuendelee kutumia mfumo wa zamani katika hili mpaka hapo mtakapojipanga na huo mfumo wenu mana sisi watumishi wa chini ndo tunaumia.
 
WanaJF salam!

Kuanzia mwishoni mwa mwaka jana Utumishi ilizuia mfumo wa manual wa kupitisha makato kwa watumishi wote na kutaka mfumo wa kielectronic kupitia ESS pekee ndo utumike katika kukopa na kupitisha makato kwa maHRO.

Sasa katazo hili ndo linasababisha watumishi kushindwa kuuza madeni kutoka taasis moja kwenda nyingne kwakuwa kwenye mfumo bado hakuna access ya kuruhusu kuuza au kununua deni.

Hii imeleta taaruki kwa watumishi kwakuwa wengi wana madeni ya taasis nyngne na wanataka kuuza kwenda kwa taasis nyngne lakini haiwezekani. Wengine wana madeni ya bodi ya mikopo (ambayo yanakata zaidi ya moja ya tatu) wanataka wayauze taasis nyngne lakini haiwezekani.

Kwa hali hii watumishi tunawaomba Utumishi meuhusu tuendelee kutumia mfumo wa zamani katika hili mpaka hapo mtakapojipanga na huo mfumo wenu mana sisi watumishi wa chini ndo tunaumia.
Mfumo wa ESS una faida nyingi kuliko hasara, so changamoto yako moja hiyo isikufanye uone kama na wengine hawautaki mfumo.
Kwanza kuuza deni, ni kujiongezea taabu ya muda mrefu kwa njaa ya siku moja.
Kwa mfano;
Katika mikopo mfumo una faida hizi;
1.Una apply mkopo ukiwa nyumbani kwako na laptop yako, na pesa inaingia instantly.
Huna sababu ya kutembea na bahasha kwenda benki, idarani kwako na kwa HRO
2.ESS inakupa nafasi ya kuona benki zote zinazokopesha, riba zake na masharti yake, hivyo inakusaidia kuchagua benki moja ya kukopa kulingana na unafuu wake.
Huna sababu ya kutembelea benki zote manually kutizama riba&masharti.
3.ESS imeondoa urasimu uliokuwa ukiwakwamisha watumishi&kuokoa muda.
NB
Nakushauri ukubali kubadilika&kwendana teknolojia.
Na usipende kupotosha.
 
Mfumo wa ESS una faida nyingi kuliko hasara, so changamoto yako moja hiyo isikufanye uone kama na wengine hawautaki mfumo.
Kwanza kuuza deni, ni kujiongezea taabu ya muda mrefu kwa njaa ya siku moja.
Kwa mfano;
Katika mikopo mfumo una faida hizi;
1.Una apply mkopo ukiwa nyumbani kwako na laptop yako, na pesa inaingia instantly.
Huna sababu ya kutembea na bahasha kwenda benki, idarani kwako na kwa HRO
2.ESS inakupa nafasi ya kuona benki zote zinazokopesha, riba zake na masharti yake, hivyo inakusaidia kuchagua benki moja ya kukopa kulingana na unafuu wake.
Huna sababu ya kutembelea benki zote manually kutizama riba&masharti.
3.ESS imeondoa urasimu uliokuwa ukiwakwamisha watumishi&kuokoa muda.
NB
Nakushauri ukubali kubadilika&kwendana teknolojia.
Na usipende kupotosha.
Kuhusu kupanda madaraja ESS inasaidia kutenda haki?
 
Ukiuza hautapata hasara kutokana na riba ya atayelinunua? Na ukiangalia bodi ya mikopo haina riba?
Shida wanakwangua hadi moja ya tatu so inatupa namna ngumu ya kuishi
 
Mfumo wa ESS una faida nyingi kuliko hasara, so changamoto yako moja hiyo isikufanye uone kama na wengine hawautaki mfumo.
Kwanza kuuza deni, ni kujiongezea taabu ya muda mrefu kwa njaa ya siku moja.
Kwa mfano;
Katika mikopo mfumo una faida hizi;
1.Una apply mkopo ukiwa nyumbani kwako na laptop yako, na pesa inaingia instantly.
Huna sababu ya kutembea na bahasha kwenda benki, idarani kwako na kwa HRO
2.ESS inakupa nafasi ya kuona benki zote zinazokopesha, riba zake na masharti yake, hivyo inakusaidia kuchagua benki moja ya kukopa kulingana na unafuu wake.
Huna sababu ya kutembelea benki zote manually kutizama riba&masharti.
3.ESS imeondoa urasimu uliokuwa ukiwakwamisha watumishi&kuokoa muda.
NB
Nakushauri ukubali kubadilika&kwendana teknolojia.
Na usipende kupotosha.
Kwenye andiko langu hakuna sehemu nimeukataa mfumo ila nimewakumbusha wenye mfumo shida ambayo tunaipata kwa sasa ili watusaidie kuisolve
 
Back
Top Bottom