Nafasi za kazi
SeenIngia kwenye account mzee baba
Vp kaka wew ulifanya interview za ega?Ingia kwenye account mzee baba
Nilifanya ila nilikandwa mapema sana 🤣Vp kaka wew ulifanya interview za ega?
Ahaha post ganNilifanya ila nilikandwa mapema sana 🤣
Au business analystAhaha post gan
No securityAu business analyst
Ahahah ni hatar sio kwa mikando ile ya egaNo security
Balaa msuli mzito unahitajika hahaAhahah ni hatar sio kwa mikando ile ya ega
Mi nasikilia majibu ya oral kama ntakua nimekandwa au lahBalaa msuli mzito unahitajika haha
System adminAhaa safi ulifnya post gn
Ahaa sawa kk kuomba mung mambo yawe mzuriSystem admin
Uzr kuna database so kama umefnya vzr hata usipopt hii unaez kaa database next time ukaitw t kznAhaa sawa kk kuomba mung mambo yawe mzuri
Nikuomba Mungu asaidie kwanza kufaulu pili nafasi hzo za database zipatikane maana zisipopatikana pia ni kaz bureUzr kuna database so kama umefnya vzr hata usipopt hii unaez kaa database next time ukaitw t kzn
Ni kweli kk nafsi ni chache sna hasa za ICT ndo kbsaNikuomba Mungu asaidie kwanza kufaulu pili nafasi hzo za database zipatikane maana zisipopatikana pia ni kaz bure
Hv kwamfano mimi si nimefanya system admin ikapatikana nafas ya database admin wanaweza nichukua auNi kweli kk nafsi ni chache sna hasa za ICT ndo kbsa
Mh hapo sidhani mara nyingi ni post ile ile uliyofnya ndo unaeza kuitwaHv kwamfano mimi si nimefanya system admin ikapatikana nafas ya database admin wanaweza nichukua au
Hapo ndo ICT inakuja kuwa complicated sanaMh hapo sidhani mara nyingi ni post ile ile uliyofnya ndo unaeza kuitwa