Yeah mkuu nimeangalia kwenye account yangu nimekuwa shortlisted, niliomba account officer IIYa afisa hesabu ndio yametoka jana mkuu hayo uloangalia ilikua ni wa uchumi vipi umekua shortlisted?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mkuu nimeangalia kwenye account yangu nimekuwa shortlisted, niliomba account officer IIYa afisa hesabu ndio yametoka jana mkuu hayo uloangalia ilikua ni wa uchumi vipi umekua shortlisted?
Kwa hiyo wamebadilisha tena saiv sio kila Mkoa?Wakuu naomba mwenye uelewa wa huu mkeka wa LGA na MDA wamesema tu mikoa ya interview ila hawaja specify ni maeneo yapi ndani ya hiyo mikoa, mwenye uelewa wa hili anisaidie tafadhali, asante
Chungulia mara kwa mara kwenye account Yako mkuu wataeka tu kituoWakuu naomba mwenye uelewa wa huu mkeka wa LGA na MDA wamesema tu mikoa ya interview ila hawaja specify ni maeneo yapi ndani ya hiyo mikoa, mwenye uelewa wa hili anisaidie tafadhali, asante
Pitia vizurii Tangazo mkuu kama ni la mkataba wataainisha humo kwenye tangazoHello Ndugu wa Jf.
Kuna Pdf ya nafasi za Ajira Muhas imetoka leo lakini imesema barua iandikwe kwenda kwa Deputy Vice chancelor wa chuo badala katibu mkuu psrs kama ilivyo zoeleka.
Naomba kufahamishwa hii ajira inakuwa ni ya serikali au ni ya chuo ? Je ni permanent ?
Atakae pata atatambulika kama mwajiriwa wa serikali au wa Chuo ?
Mwifwa
Leonce jr
makutupora
No SQL
MamaSamia2025
Jumah JR Kalikenye_91
Kila la kheri mkuu huu mwaka wa cheq no.🙏🙏Tayari ndugu yenu nimetua maeneo ya Tunduma, tayari kuelekea Jiji la Mbeya kujiandaa kwa usaili.
Kabisa mkuu. Tuombeane kheriKila la kheri mkuu huu mwaka wa cheq no.🙏🙏
Unatokea Swax nn?Tayari ndugu yenu nimetua maeneo ya Tunduma, tayari kuelekea Jiji la Mbeya kujiandaa kwa usaili.
Wengi wao hawapelekwi shuleHizi ajira za walimu zinazotoka mtu akipangwa Wizara ya Elimu anaenda kufundisha shule gani?
Kuna dogo yeye hajapangwa halmashauri bali wameandika tu Wizara ya Elimu.
Msaada kwa anayejua.
Hii kitu nimeikuta pia ,hawajaweka interview number Wala venue,wenye ujuzi na hili watusaidieWakuu naomba mwenye uelewa wa huu mkeka wa LGA na MDA wamesema tu mikoa ya interview ila hawaja specify ni maeneo yapi ndani ya hiyo mikoa, mwenye uelewa wa hili anisaidie tafadhali, asante