Mwezi wa nane waongezee majina maana kwa hii mikeka miwili itakuwa na watu zaidi ya mia 6 kiukweli masuala ya wazi itakuwa busy watatupumzika hadi wa 11 au wa 10 mwishoni huo mkeka wauongezee nyama
IT amefuta mkeka sijajua lengo lake nini?Na ma-TA awakumbuke. Maana ndugu yangu anasubiri mno,
IT amefuta mkeka sijajua lengo lake nini?
Au mke wake baada ya kumpa ndogo aka hang any I kiss akavujisha Siri za kambi
Hapo tatizo ni system yako unayotumia ndiyo ina matatizo!!Still inagoma
Duuuu naona kaweka mwingne tangazo la placement Linasoma tarehe 14 ila pdf inasoma tarehe 13 alafu ndan Majina yamepunguzwa kbsa..[emoji23][emoji23][emoji23]yawezekana. Ila aongezee nyama hio kesho atushangaze
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
Duuuu naona kaweka mwingne tangazo la placement Linasoma tarehe 14 ila pdf inasoma tarehe 13 alafu ndan Majina yamepunguzwa kbsa..
Ya mwanzo ilkuwa na page 11 saiv Ina page 5 na baadh ya taasis hazipo na Majina
Nadhan alkosea...hizo ni human errors changamoto Kwa wale walkuwa Tyr washaupata mkeka na jina lake limo[emoji1]
Akichek saiv jina halipo duuuu u jobless ni shda sana
Ule mkeka admin alioupost wenye majina zaidi ya 200+ wenye taasisi kama OCEAN ROAD,TAEC ,Wizara ya kulimo na Halmashauri nyingi.Kazi mnoo. Afu majina alioyapunguza, atayapost tena pdf lingine. Jumatatu sijui jumanne. Wale sio changamoto, maana ni uhakika nafasi yao ipo.
Sisi ambao hatujui siku wala saa ndio tunapata tabu. Maana hapo majina mengine hadi yaliyopunguzwa waitwe tena.
Wakipost majina mengi kwani ni kinyume cha sheria?! Au wanapenda kutupa psychological torture?!
mwenye case hii aenjoy coz kaona jina lake kwa lugha nyingine kishapata matokeo yake tyr. Akae kwa kutulia😄Duuuu naona kaweka mwingne tangazo la placement Linasoma tarehe 14 ila pdf inasoma tarehe 13 alafu ndan Majina yamepunguzwa kbsa..
Ya mwanzo ilkuwa na page 11 saiv Ina page 5 na baadh ya taasis hazipo na Majina
Nadhan alkosea...hizo ni human errors changamoto Kwa wale walkuwa Tyr washaupata mkeka na jina lake limo[emoji1]
Akichek saiv jina halipo duuuu u jobless ni shda sana
Kwani kuna mkeka mwingine ulitumwa before?ukatolewa?MKEKA HUO WADAU.
TAFUTA KAMA KUNA JINA LAKO.
ILA PDF HAIPO PORTAL.
FANYA TU KWENDA MASIJALA YA WAZI UKIANZA TU KUSAMBAA IT IMEKULA KWAKEView attachment 2781400
Yah Jana saa nne IT aliweka.mkeka tofauti na huu akaufuta ndo amekuja kuupost huu leo.Kwani kuna mkeka mwingine ulitumwa before?ukatolewa?
Hongera sanaWazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa
Hongera mastaDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
Hahah mzee kaza buti tu, ujichange maana mimi na wewe hatupishani sana ila mimi fikra zangu ni kwa yule ndugu yake na huyo wa kuitwa Subaru Forester, ebhana kila nikiingia online nakutana nae😂Wadau naombeni ushauri tangu nipate placement kila saa akili inawaza SUBARU XT 2009 najaribu kufuta mawazo hayatoki nimejaribu kunywa beer nisahau ila ndio inazidi kunijia karibu zaidi.View attachment 2772942
Hongera sana MkuuDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
Oh sawa mkuu naona kuna mikeka 2 pale wa tarehe 14 na 2 ya tarehe 13,itakua mmoja ndio huo alioutoaYah Jana saa nne IT aliweka.mkeka tofauti na huu akaufuta ndo amekuja kuupost huu leo.
Ulikuwa na watu zaidi ya 200