yaa tayar mkuu nasubiri simu mkuu.Mzee Sterling umesharipoti kazini
Vimuli muli vyote vimezima.Ni furaha sana kukutana masijala ya wazi mkisubiria barua za vituo vya kazi pale nje kwenye hema. Hapo kila mtu anaelezea uzoefu wake aliopitia hadi kuwa mshindi mnacheka sana na kufurahi pamoja. Very happy indeed.
IT wa field kaondoka.aisee tutakiona cha mtema kuni... [emoji1787] [emoji1787]
Hatari ,na hapo mkeka ukitoka unakutwa umekandwa... [emoji1787] [emoji1787]
IT wa field kaondoka.
Vimekuja vizee vyenye miwani .mkeka mpaka mwezi ujao
kuna mda mawazo unayowaza mpaka mtu unajishangaaa....Ila kusubiri placement kunatufanye tuwaze vitu vya ajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unasubiria oral ngapi ulizofanya?kuna mda mawazo unayowaza mpaka mtu unajishangaaa....
Unaweza ukifanya oral moja ukasepa zako.Unasubiria oral ngapi ulizofanya?
2Unasubiria oral ngapi ulizofanya?
Walinzi wa pale getini wamepata fursa ya kujipatia kipato kwa wale ambao wanakuja kuchukua barua na hawajavaa mavazi ya kiutumishiNi furaha sana kukutana masijala ya wazi mkisubiria barua za vituo vya kazi pale nje kwenye hema. Hapo kila mtu anaelezea uzoefu wake aliopitia hadi kuwa mshindi mnacheka sana na kufurahi pamoja. Very happy indeed.
Sasa na ww unaendaje kwenye interview ilhali unavaa nguo zisizo za kiutumishiWalinzi wa pale getini wamepata fursa ya kujipatia kipato kwa wale ambao wanakuja kuchukua barua na hawajavaa mavazi ya kiutumishi
Ukija umekula jeans/sandals/t shirt wanakwambia hauruhusiwi kuingia hivo inabidi urudi kubadirisha nguo au wakukodishe nguo zao
Kwahiyo ni wewe sasa kurudi au kuwapa hela ambayo mtaelewana ili wakupe viwalo ukamalize mchakato au wakubanie kuingia
Ndo wenye degreee zao hao mkuuKuna wale boda boda na bajaji interview ikiisha wana kuwa wengi