Touch point hapa.
Umenisema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo mwishoni mbavu sina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila wewe umefanya nicheke sana leo
😂😂😂😂😂 moneytalk niwakike mzee me mkiniambia niwakiume siamini na akili yangu imegoma kabisa aseehHahaha, acha kabisa Mkuu, ukitaka kulielewa hilo la ukarimu wetu wanaume kwa wanawake ni siku utakayobadilisha avatar na kuweka ya mwanaume.
Japo mimi binafsi napata wakati mgumu sana kuamini wewe sio wakike, na mimi nitaanza rasmi kukukazia kiume.
Mpaka sasa imegundulika hapaJf kwamba Prok ni wakike na sio wakiume na wewe moneytalk ni wakiume sio wakike, acha tuone mwisho wake utakuwaje.
Jobless tunahangaika na ajira wewe kumbe umetuzunguka umeoa aiseee humu tuishi kitaalamu sana🤣Hahahahaaa.
Nishaanza kutaniwa huku na mama mtoto, anasema nishakandwa. Huwa anasoma uzi huu kimya kimya, halafu anakuwa ananiambia umekandwa. Huku mimi huwa namtishia kuwa "tutamblock asiweze kuona huu uzi wetu" [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu huwa ananipa habari zako kuwa uko outstanding sana kwenye huu uzi
kwanini unapata wakati mgumu mkuu kuaminiHahaha, acha kabisa Mkuu, ukitaka kulielewa hilo la ukarimu wetu wanaume kwa wanawake ni siku utakayobadilisha avatar na kuweka ya mwanaume.
Japo mimi binafsi napata wakati mgumu sana kuamini wewe sio wakike, na mimi nitaanza rasmi kukukazia kiume.
Mpaka sasa imegundulika hapaJf kwamba Prok ni wakike na sio wakiume na wewe moneytalk ni wakiume sio wakike, acha tuone mwisho wake utakuwaje.
😂😂😂😂😂Kinachoniangusha ni hii suti tu haipati kazi yake niliyoishonea Yani mpaka imeanza kupauka hapaHahahahaaa.
Nishaanza kutaniwa huku na mama mtoto, anasema nishakandwa. Huwa anasoma uzi huu kimya kimya, halafu anakuwa ananiambia umekandwa. Huku mimi huwa namtishia kuwa "tutamblock asiweze kuona huu uzi wetu" [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu huwa ananipa habari zako kuwa uko outstanding sana kwenye huu uzi
😂😂😂😂Yani mimi nna asilimia buku wewe ni wakike aseeh🤣🤣🤣🤣🤣🤣zibitisha hilo wizy
Avator hyo, mwanaume halisi hawezi weka picha ya kike hata kama ni mkewe kwenye profile/ avator yake.kwanini unapata wakati mgumu mkuu kuamini
Kwenye status au wap?Tuko shortlisted tena ***** badala ya call for oral
umefanya oral lini?Tuko shortlisted tena ***** badala ya call for oral
Hao ndo wanatoka chuo mkuu bado hawajapigwa na jua subiri watakuja kuandika vizuri tu kuwa wanaomba kazi yoyote ilimradi tu apate sehemu yakula mchanaNipo nje ya mada kidogo, hivi hawa wanaokuja huku na kuandika natafuta connection ya ajira serikalini au private na private kaweka masharti kwamba kuwe na mkataba. Aisee ingekuwa rahisi hivyo wote hapa tungekuwa na kazi. Nmesoma uzi mmoja humu nmejiuliza maswali mengi. Bora hawa wanaosema ajira yoyote natafuta ili mradi iwe ya halali
Ndio mkuuAhahahh kwahyo one down 3 to go right
Hapana, tunaambizana ukweli ili tujiandae kisaikolojia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatukatisha tamaa mzee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daahhh[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jobless hapendwi mzee hakuna cha bega kwa bega hapo