Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Utuletee uhakika wa mada yetu pendwa ya status mkuu, uwaulize na uko hao ma IT najua mnalugha zenu za kitechnical zaid
 
Asante, Yote kwa yote usisahau kutuma kapicha ka hiyo masjala ya wazi Mkuu.
 
Ulifanya MDA? Au zipi mkuu IT mwenzangu
 
Kindly ongezeni received kwa wale wote ambao kada zao zimetangazwa.

Naona TEMESA nafasi si haba, zinatia moyo wa kwenda kupambana
 
[emoji848]
[emoji848], hapo kwenye kupiga picha ofisi yako mpya uwe makini!
 
Hongera sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…