captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Wewe asali yako itakuwa kwenye taasisi mkuu, sio ya halmashauri.IT mbona kila mkeka wenye electrical sijioni.nimetembea na demu wako nin
Ningeshangaa km IT usingeachia hyo PDF maan taarfa ninazo.IT mtu wetu sana...hyo PDF ya placement unayo apo pandsha jobless jtatu tuamkie masijala ya wazi[emoji3]
Uhakka..hongera kwa waliopataIT kufanya yake Kuna PDF ya placement huko
Uhakka..hongera kwa waliopata
Database inasogea
Sasa ni Kati ya 14/01/23 ad 12/12/2023
Jobless msikate tamaa mambo mazr yanakuja.
🤣 🤣 umejuaje.??Wewe asali yako itakuwa kwenye taasisi mkuu, sio ya halmashauri.
Amina mkuu..PDF ijayo ni zamu yetuNaamini mda sio mrefu, nitaona pdf yenye jina langu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],jamaa ana chuki binafsi na sisi aisee si bure .IT mbona kila mkeka wenye electrical sijioni.nimetembea na demu wako nin
Huyu jamaa kapangiwa Mbeya hii ni Data baseIT mbona kila mkeka wenye electrical sijioni.nimetembea na demu wako nin
🤣 🤣 anaenjoy tunavyomaliza bando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],jamaa ana chuki binafsi na sisi aisee si bure .
watajichanganya tu na database zao.asali ni compulsoryHuyu jamaa kapangiwa Mbeya hii ni Data base
Nina maana Utumishi imeunda taasisi inaitwa PSRS kwa ajiri ya kuratibu michakato ya Ajira ni sawa na kusema Wizara ya ujenzi na Tanroad....PSRS hawatoi kibali cha ajira
Nami nakazia hapo next pdf ni uetu wakuuAmina mkuu..PDF ijayo ni zamu yetu
Amina 🙏 mkuu, pdf lijalo liwe letu, asee kitaa njaa Kali sanaNami nakazia hapo next pdf ni uetu wakuu
hizi nafasi hazijatangazwa muda sana na mim pdf zijazo naamini nitapata maana kwenye group letu washapata wa 5 mpaka sasa na oral tulikuwa 11IT system administrator wanakula shavu kuliko IT wa specialization nyingine
Ulifanya tarehe 15/11hizi nafasi hazijatangazwa muda sana na mim pdf zijazo naamini nitapata maana kwenye group letu washapata wa 5 mpaka sasa na oral tulikuwa 11
Basi kuwa na subira tuuselected for oral interview