Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
OvertimeUnalipwaje perdiem na kazi unafanyia eneo ofisi yako ilipo.
Mkuu watakuja kukupa muongozo.Naomba kuuliza, hivi haya mambo ya status za kwenye web na app zinamaanisha Nini?
1. Selected for oral interview ( yaani hapa haijawahi badilika toka mtu afaulu written na kufanya oral inasomeka in both app&web)
2. Selected for null baada ya kufanya oral( app not in web)
3. Not selected for null baada ya kufanya oral (app not in web)
4. Shortlisted baada ya kufanya oral ( app&web)
mmh tuwasubiri nyie wakati nyie pdf lenu litatoka 2030 🤣 🤣Nyie mnaosubiri replacement itabidi mtusubiri sisi wa interview tumalize ili tuwe pamoja kwenye pdf, ule muda wa kusubiri pdf la 1TB ndo sasa.
Naomba kuuliza, hivi haya mambo ya status za kwenye web na app zinamaanisha Nini?
1. Selected for oral interview ( yaani hapa haijawahi badilika toka mtu afaulu written na kufanya oral inasomeka in both app&web)
2. Selected for null baada ya kufanya oral( app not in web)
3. Not selected for null baada ya kufanya oral (app not in web)
4. Shortlisted baada ya kufanya oral ( app&web)
Asante sana MkuuMjadala mrefu ila tulifanikiwa kuumaliza.
Selected for Oral both web$app hapa una asilimia 70% ya kuwa kwenye database na kupata kazi.
Selected For oral web $Not selected for oral app hapa tunaita baba Jane bye bye wait for another received .
Selected for Null not Selected for null nadhani tulipitia muafaka ni kwamba hizi Error za system na kwa sasa hazipo zimelekebishwa kazi hamna hapa.
Shortlisted ni issue ya system kujiaupdate
heeh yaani we umefanya mwezi wa kumi unashangaa.wenzio tumesahau hadi tulifanya lini..Asante sana Mkuu
Ila hiyo Baba Jane bye bye jamani🥴🥴
Asa mtu oral tokea mwezi wa kumi huko Hadi leo listatus linasoma Selected for oral interview both app&web adi mtu anashindwa kuelewa yaani miezi Kama 5 imekata.
Kaka mbona haraka hivyo ukifanya interview.Asante sana Mkuu
Ila hiyo Baba Jane bye bye jamani[emoji3061][emoji3061]
Asa mtu oral tokea mwezi wa kumi huko Hadi leo listatus linasoma Selected for oral interview both app&web adi mtu anashindwa kuelewa yaani miezi Kama 5 imekata.
Wa kumi Juzi kabisa.heeh yaani we umefanya mwezi wa kumi unashangaa.wenzio tumesahau hadi tulifanya lini..
Kwangu Mara baada ya kutoka ktk oral status ilisoma ktk app shortlisted na ktk web ilikua selected for oral baada ya muda nikawepo ktk pdf la placement.Naomba kuuliza, hivi haya mambo ya status za kwenye web na app zinamaanisha Nini?
1. Selected for oral interview ( yaani hapa haijawahi badilika toka mtu afaulu written na kufanya oral inasomeka in both app&web)
2. Selected for null baada ya kufanya oral( app not in web)
3. Not selected for null baada ya kufanya oral (app not in web)
4. Shortlisted baada ya kufanya oral ( app&web)
vice versa is true!Kwangu Mara baada ya kutoka ktk oral status ilisoma ktk app shortlisted na ktk web ilikua selected for oral baada ya muda nikawepo ktk pdf la placement.
Zingatia: sidhani kama stutus zina maana yeyote
pole sana ila bado haujachelewa zamu yako inakujaAGE LIMIT INANIWAZISHAAA 30+ HII AFUU SIJAINGIA UTUMISHIII
Daaaàh bro siyo poaKaka mbona haraka hivyo ukifanya interview.
Jipe muda wa mwaka mmoja wa kuwa database .
Maana kusubiri ajira PSRS inabidi uwe na Roho ngumu sana.
Huna tofauti na mfungwa wa jinai, ndo bye bye utumishi 😂AGE LIMIT INANIWAZISHAAA 30+ HII AFUU SIJAINGIA UTUMISHIII
1. Kuhusu TA abel cha kwanza kwenye written hakikisha unasoma mada za darasani ulizojifunza kwny kada yako ulio ombea sababu masuali huwa ni ya ki professional, maana ya course yako. Hakikisha unapata alama nzuri kwahio jiandae haswa sababu kwenye nafasi 1 wanatakiwa waende oral watu wa 3 tu. Kwhio hatakama mko 10 wataangalia watatu wa juu wenye marks kubwa kuwazidi wengine ndio wataenda so kama wanataka watu wawili basi oral mtaenda 6... n. KBro, ebu nipe uzoefu kidogo na mbinu za interview ya TA kwa Written na Oral
Bro, ebu nipe uzoefu kidogo na mbinu za interview ya TA kwa Written na Oral