Hawa Jamaa hawaeleweki inshort ila wanazidi kujitangaza , huku kwa wasaka ajira ni taabu tupu....Mikeka mingi ya mwaka huu itaanza kuchukua watu wa Jan 2023 nakuendelea
Mbona age limit ni 45Huna tofauti na mfungwa wa jinai, ndo bye bye utumishi [emoji23]
Utumishi age limit ni 45AGE LIMIT INANIWAZISHAAA 30+ HII AFUU SIJAINGIA UTUMISHIII
Usilinganishe Wazungu na watu wengine. Hao ni level nyingine kabisa kwenye ustarabu na kujali ubinadamu.Acha tu mzungu anajua kucare hawana longo longo za kikuda wala majivuno kama ma Hr wakibongo.Mbongo akiona mtu anataabika ndio roho yake inafurahi.
Sijawahi kufanya interview hata moja ila hii ya bomba la mafuta la east africa ndio imekuwa ya kwanza aloo mzungu mzungu tu.
Tulikuwa wengi tulioitwa kwenye interview almost 300 ila hata kama uko kijiji gani utalipiwa nauli hadi ufike dar kwenda na kurudi usafiri wowote utakaopenda ila usipande ndege tu[emoji3][emoji3].Hii ni kwa both oral and written.
Ukilala hotelini hata kama ni guest ya 5000 ,watakulipa 70,000 per night. Hotel tuliokuwa tukifanyia interview sasa ni seacliff [emoji3][emoji3]. Pesa ya kula 30,000
Na hapo Hotelin unakuta wamekuandalia Chai nzito vitafunwa vya kila aina, maji, chocolate,pipi yaani watakulazimisha ule hata kama hutaki utakula tu.
Hoteli ile ni kubwa ila kuanzia getini utakaribishwa kama mfalme. Kuna wale ambao kwa namna moja ama nyingine walikuwa wanashindwa kufika kwenye interview yaani utapigiwa simu wanakuuliza kama utaweza wakupangie siku nyingine. Kuna jamaa alisema siwezi kuja sababu sijajiandaa wakawa wanambebeleza njoo hivyo hivyo ujaribu bahati yako.
Maswala sijui ya kubeba mavyeti hawataki ni wewe na I'd yako yoyote. Ukimaliza interview unaenda kwa cashier anakulipa pesa zako zote ndio unasepa.
Kwenye oral interview kila mtu alikuwa amepewa saa moja kwenye venue uliopangiwa mfano ukachelewa wanam interview mwenzako aliewahi halafu wew watakuinterview baadae sio kama wabongo eti ukichelewa hata kwa bahati mbaya ndio imekula kwako na mabango juu.
Wakati wa interview sasa nilikuwa najiuliza nitaongea kizungu gani mimi na wazungu kwenye lisaa lizima wakati kizungu chenyewe sijui aloo wale jamaa wanajua kucare [emoji3][emoji3][emoji3]interview zote zingekuwa hivyo daa wakiona kuna swali unatapa tapa kujibu wanapredict unachojaribu kujibu wanakuolezea mpaka mwenyewe unasema yes yes yes ndio hiyo.
Au wakiona umechoka kidogo wanakwambia pumzika dakika tano kunywa maji Kisha tuendelee. Ambao tumepita oral interview last month tumeambiwa tutafute best private hospital yoyote iliyo kwenye mkoa uliopo Kisha tuwatumie ndio tunasubiri majibu yao twende kwenye medicals.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Aisee kumbe wapo chap hvi. Kwahiyo majina ya usaili walitoa kwa pdf na kupeleka public.
Au ndio yale ya kutumiana msg au e mail
Wote asali tutalamba regardless ni ya Nyuki au KipepeoUtumishi age limit ni 45
Inategemea na uhitaji wa mwajiri, kama mnahitajika haraka placement yenu itakuwa chap.Sasa mimi nimefanya oral ya TA chuo cha ardhi juzi tarehe 24 january, placement zinaweza kuwa mpaka lini?
Duh! Sasa inakuwaje mwajiri anahitaji watu halafu hahitaji harakaInategemea na uhitaji wa mwajiri, kama mnahitajika haraka placement yenu itakuwa chap.
Hapa ndio Tanzania bro.Duh! Sasa inakuwaje mwajiri anahitaji watu halafu hahitaji haraka
Ni shida, ni ujinga tu hamna lolote, hai make sense kabisaDuh! Sasa inakuwaje mwajiri anahitaji watu halafu hahitaji haraka
wametuwekea na jalada umelionaa?Naona IT anafanya test ya notification kwenye App yao sasa hivi App itakuwa ina pop up notification
Jarida limejazwa mapicha picha Kama vile picha za katuni za watotowametuwekea na jalada umelionaa?
[emoji16][emoji16][emoji16] miezi 5 unaona ni miezi mingi sana ehhhAsante sana Mkuu
Ila hiyo Baba Jane bye bye jamani[emoji3061][emoji3061]
Asa mtu oral tokea mwezi wa kumi huko Hadi leo listatus linasoma Selected for oral interview both app&web adi mtu anashindwa kuelewa yaani miezi Kama 5 imekata.
Yaaani ni masikitiko mwaka mzima mtu anaingia web ya utumishi[emoji16][emoji16][emoji16] miezi 5 unaona ni miezi mingi sana ehhh
Wengine hapa tulifanya Oral mwezi wa Kwanza 2023 placement ikaja kutoka mwezi wa 11
Na kuna ambao tulifanya nao hadi leo hii bado wanasubiri
We ukifanya interview yao achana nao endelea na mambo mengine ambayo ulikuwa unafanya au endelea kutafuta issue zingine za kujitafutia RidhkiYaaani ni masikitiko mwaka mzima mtu anaingia web ya utumishi
Unashangaa mwaka pitia mikeka inayotoka ya 2022...Yaaani ni masikitiko mwaka mzima mtu anaingia web ya utumishi
Mikeka ya mwezi wa 12 na 1 ni ya kuanzia Mwaka 2022Unashangaa mwaka pitia mikeka inayotoka ya 2022...
Hongera sana mkuu kama nimeelewaSawa, tumekubaliana mm na utumishi tukutane uso kwa uso tarehe 20 na 21
Wapi kimbinyikooooooooooooo.!