Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
🫨yan sjui kwann nikiwa idle tu siwez kukaa tu nisiingie unakuta lazma niingie tu..ndo mana nataman kungekua na tar rasmi ya matokeo ijulikan itatusaidia sana.Na inakula Bando Ile website
Basi wewe lazima upate kazi🫨yan sjui kwann nikiwa idle tu siwez kukaa tu nisiingie unakuta lazma niingie tu..ndo mana nataman kungekua na tar rasmi ya matokeo ijulikan itatusaidia sana.
Kwasababu ya kuingia sana web yao au?[emoji1787]Basi wewe lazima upate kazi
Yaan wewe kila siku wanakuona unavyofanya kazi ya kuperuzi watashindwa kukupa kazi?Kwasababu ya kuingia sana web yao au?[emoji1787]
Kwa hio bado hujaona?Nakumbuka siku natoka kwenye oral mwenyekiti wa panel alinikomalia na kunisisitiza mara kwa mara niwe naingia kwenye website ya secretariat ya Ajira hadi akawa ananielekeza namna ya kuingia dah Leo naona kama NI database basi itakuwa ishaexpire maana nilipiga February 15 mwaka jana
Bado mkuu...Kwa hio bado hujaona?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]iko Co kigezo mkuuYaan wewe kila siku wanakuona unavyofanya kazi ya kuperuzi watashindwa kukupa kazi?
Sasa wewe umeshikwa na morale kwa hio ni simple tu kupita kwenye mchujo,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]iko Co kigezo mkuu
Usife moyo mkuu endelea kuingia utaona tuBado mkuu...
Itakua ulifnya vzur[emoji3],yan yale maneno yao ya mwsho yanatiaga moyo snaNakumbuka siku natoka kwenye oral mwenyekiti wa panel alinikomalia na kunisisitiza mara kwa mara niwe naingia kwenye website ya secretariat ya Ajira hadi akawa ananielekeza namna ya kuingia dah Leo naona kama NI database basi itakuwa ishaexpire maana nilipiga February 15 mwaka jana
Mm mkuu celew nahitaj nione pdf yaliyomo yamo,then nikae nitulie nifany mnginSasa wewe umeshikwa na morale kwa hio ni simple tu kupita kwenye mchujo,
Basi usihofu wataweka tu usichoke kutembelea isije ikakupitaMm mkuu celew nahitaj nione pdf yaliyomo yamo,then nikae nitulie nifany mngin
Sawa mkuuBasi usihofu wataweka tu usichoke kutembelea isije ikakupita
Wanajua kutupooza kwa kweli,Itakua ulifnya vzur[emoji3],yan yale maneno yao ya mwsho yanatiaga moyo sna
Nipe ABC za maswali...caring is sharing, aah vice versa isMuhimu kujiandaa na kumtumaini Mungu. Last year October tuliitwa watu 1100+ kweny nafasi 2 . Tuliofanya Ni 500+ na oral tuliingia 23 na Kwa kudra za Allah katika Hao wawili Nami nikapata Kazi.
Zitatoka mwaka wa fedha 2024/2025Hizo ajira elfu 44 alizosema Simbachawene zinatoka lini?
Maana Psrs kuita watu interview ndo wanachokijua kwa sasa.
Na kutudanganya kwa vimikekq viwili.
Hongera sana ilikua post gaji?Muhimu kujiandaa na kumtumaini Mungu. Last year October tuliitwa watu 1100+ kweny nafasi 2 . Tuliofanya Ni 500+ na oral tuliingia 23 na Kwa kudra za Allah katika Hao wawili Nami nikapata Kazi.
Ilikuwa Examination officer mkuuHongera sana ilikua post gaji?
Kada gani kiongozi??Nipe ABC za maswali...caring is sharing, aah vice versa is