The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
mmeamka salama jamani ungeni bando kazi ianze.. 🤣 🤣
😂😂 hongera mkuu,karibu vita inayoendeleaHatimae rasmi nimeingia kwenye mtanange wa Utumishi baada ya kuapply kwa mara ya kwaza katika kimuli muli kilichozima jana.
🤣🤣kazi iendelee mkuummeamka salama jamani ungeni bando kazi ianze.. 🤣 🤣
Kwan ajira portal app bdo iko under maintainance tu?
Ni balaa hal ngumu mtaaJobless wako hoi!
Ahsante mkuu, yani tutadumu kwenye hii vita mpaka kieleweke.😂😂 hongera mkuu,karibu vita inayoendelea
Kwako inaonyeshaje? Kwangu muda haijafunguaKwan ajira portal app bdo iko under maintainance tu?
Aluta continua💪Ahsante mkuu, yani tutadumu kwenye hii vita mpaka kieleweke.
Still naambiwa iko under maintenanceKwako inaonyeshaje? Kwangu muda haijafungua
Sema nazo taasis zinazingua washajijua wanahitaj wafanyakazi,nafikir PSRS wangekua na order yao kwamb pale wanapotufanyish interview,waajir wachukue watu wao km ni mwez mmoja au miwili wawape muda maalum,kuliko kuacha watu miez na miez mpk muajir atakapojiskia,wakabaki na data base tuHabari wakuu, nimeona leo tushee pamoja kuhusu muda wa mchakato wa ajira tokea kutanga nafasi hadi barua za kuita watu kazini
Kipengele (x) kinaongelea kutoa matokeo ya usahili wa mahojiano siku 30 baada ya kikao cha bodi.
Note; bodi ya utumishi huwa inakaa mara 4 kwa mwaka kama inavyoelezwa kwenye sheria za uendeshaji mchakato wa ajira
kitu kingine mchakato wa ajira unavyoendeshwa muajiri huwa anatoa muda ambao anawahitaji watu wake hivyo kinacho fanyika utumishi huwa wanafanya usaili mapema zaidi na kukaa na majina hadi bodi itakapo idhinisha.
Baada ya bodi kuidhinisha huwa wanawapangia watu vituo vya kazi pamoja na kuandaa barua.
Kuitwa kazini ni hadi pale ambapo muda ambo muajiri (taasisi) kuwahitaji watu wake umefika ndipo huandaa PDF la kuitwa kazini.
Walipata placemente wanaweza kutupa mrejesho zaidi kuhusu barua na muda barua zao zilisainiwa.
Thanks.
View attachment 2955466
Tusiwalaumu waajiri ....Sema nazo taasis zinazingua washajijua wanahitaj wafanyakazi,nafikir PSRS wangekua na order yao kwamb pale wanapotufanyish interview,waajir wachukue watu wao km ni mwez mmoja au miwili wawape muda maalum,kuliko kuacha watu miez na miez mpk muajir atakapojiskia,wakabaki na data base tu
mbona mie naingia vizuri tuu.itakua wanakubadilishia status 🤣 🤣Still naambiwa iko under maintenance
Huwezi kbisa ilo swala🤣Namuomba Mungu anipe ujasili kwa nisahau kama nilifika oral PSRS lakini pia nisiingie kwa web ya PSRS angalau mpk Idd ipite naona huu ni ugonjwa unaonitesa sana. Ameen