ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Salama mkuu, tunashukuru pia kwa salamu yako endelea kuwa mvumilivu mambo mazuri yanakuja 😂😂😂😂Habari za muda huu, PSRS tunashukuru kwa ukimya wenu.
Binafsi nawatakia heri ya sikukuu ya watu wenye check number🥴🥴
Huku kutiana moyo kunanifanya nikikaa tu nikiwaza nasema sipo peke yangu naingia chap kwenye huu Uzi nakutana na wenzangu. InshaAllah Mungu atupiganieni sote.Salama mkuu, tunashukuru pia kwa salamu yako endelea kuwa mvumilivu mambo mazuri yanakuja 😂😂😂😂
na vipara vyao ka ugali wa mtama 🤣 🤣Katibu na IT wapo Dar wanazunguka kwenye media kuutaarifu umma mambo ya usaili kidigitali, vumilieni tu
Washamba wamepewa vibali wanaviangalia kubabeki zaona vipara vyao ka ugali wa mtama [emoji1787] [emoji1787]
Jitahidi kuwa updated mzee mbona unatoa taarifa za uongoKuna call for interview kwenye portal uko
Ingia kweny acc yko mzee..siku hz wanaanzia uko...TRC wame shortlistJitahidi kuwa updated mzee mbona unatoa taarifa za uongo
NdioWazee kwani nyie app inafunguka?
Tumia web browserWazee kwani nyie app inafunguka?
Nasikiliza apa Bongo fm ndo wanaanza,ngj niwasikilize awa wasukumaKatibu na IT wapo Dar wanazunguka kwenye media kuutaarifu umma mambo ya usaili kidigitali, vumilieni tu
Heri yako wewe unavyenzo za kusikilizia, huku tukuyu ndanindani tuna hali mbaya.Nasikiliza apa Bongo fm ndo wanaanza,ngj niwasikilize awa wasukuma
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tuHeri yako wewe unavyenzo za kusikilizia, huku tukuyu ndanindani tuna hali mbaya.
Anyways utatu-update.
Hii point ya kwanza mbona wanazingua, jmos tarehe 4 tumeitwa written Dodoma. Bado hawaja boresha miundo mbinu ya kufanya hizi aptitude test.Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani[emoji1787]
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu[emoji1787]..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Hivi hawa wadogo zke na Vasco Dagama wakiongeaga huwa wanajisikilizaHahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua
Vibali wamepewa 46elfu mpka sasa..Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Mzee hivi unajua kama database ipo elfu 7000 hizi data natamani nijue na mieVibali wamepewa 46elfu mpka sasa..
Lakini ukija ubaoni nw mambo ni shida number Inasomeka 9 wakati inasoma 6....
Wasifikie huko kututesa jobless
Na database ipo below 7000..