Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Wasengeeex tu haiwezekani unakibali cha watumishi elfu 46 halfu wanazingizingia vibali.Vibali wamepewa 46elfu mpka sasa..
Lakini ukija ubaoni nw mambo ni shida number Inasomeka 9 wakati inasoma 6....
Wasifikie huko kututesa jobless
Na database ipo below 7000..
Si ndo mambo yetu ya Tz,tunakurupuka tu hatuko organised kbsaaaHii point ya kwanza mbona wanazingua, jmos tarehe 4 tumeitwa written Dodoma. Bado hawaja boresha miundo mbinu ya kufanya hizi aptitude test.
😂😂😂daaa Acha tuHivi hawa wadogo zke na Vasco Dagama wakiongeaga huwa wanajisikiliza
Kama mabumunda vile
ICT ni multiple choice maswali 50Jamani nauliza,tuna mtihani wa account officer ii ,tarehe 11 na huu mtihani ni online mwenye ushauri wa namna ya kujiandaa zaidi,pia ningependa kuuliza wale waliofanya ICT officer online mtihan wao ulikuwaje? Je ni maltiple choice tu au vp
😀😀😀😀.........ICT ni multiple choice maswali 50
Kuwa makini sana ktk kutumia keyboard ya computer. Uki minimize tab au kubonyeza button yoyote mf. ESC au WINDOWS BUTTON ikapelekea browser imerespond kidogo au kufungua program nyingine hata kama bahat mbaya ujue utakuwa umesubmit mtihani wako na hivyo vichache ulivyojaza ndio vitasahihishwa na hakuna msaada baada ya kukosea mashart.Jamani nauliza,tuna mtihani wa account officer ii ,tarehe 11 na huu mtihani ni online mwenye ushauri wa namna ya kujiandaa zaidi,pia ningependa kuuliza wale waliofanya ICT officer online mtihan wao ulikuwaje? Je ni maltiple choice tu au vp
Tuliza pressure mkuu....utafikiwaUTUMISHI KAZI IMEWASHINDA
1. Ni Taasisi isiyowajibishwa
2. Ni chanzo Cha ugonjwa wa akili kwa vijana wasakatonge
3. Taasisi ya kupuuzi kuwahi kutolea Tanzania na duniani kwa ujumla
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Taasisi inawapa watu kazi pila connection.UTUMISHI KAZI IMEWASHINDA
1. Ni Taasisi isiyowajibishwa
2. Ni chanzo Cha ugonjwa wa akili kwa vijana wasakatonge
3. Taasisi ya kupuuzi kuwahi kutolea Tanzania na duniani kwa ujumla
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Miaka 1000Tuliza pressure mkuu....utafikiwa
Hongera uliyepataTaasisi inawapa watu kazi pila connection.
Kama una oral kwenye acc yako utafikiwa...kama huna tuendelee kupambana mpk kielewekeMiaka 1000
NinayoKama una oral kwenye acc yako utafikiwa...kama huna tuendelee kupambana mpk kieleweke
Hizo zinahitaji experience kubwaAmkeni muombe hizo kazi za watu wenye master's huko.
10 yrs😂😂😂Hizo zinahitaji experience kubwa