mavumbamakasha
JF-Expert Member
- Aug 18, 2020
- 228
- 449
Cha zaidi Jamaa anazingatia per diem yake Inaingia mfukoni akizunguka vyombo vyote vya habari hakuna jipya hapo....Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye mediaMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..
Hili la placement huwa wanalijibu kisiasa...chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye media
Wanajifanya hawajuiMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..
Ningekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmojahaya kuna pdf uko
Tumsamehe bure,jobless tunadata vibaya sana😂,pengine ndo njia yake ya kujifariji tuNingekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmoja
Anatak mkimbizane kuchungulia web😂Ningekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmoja
Huyu huenda hata siyo jobless, anaweza kuwa ni mtu ambaye yupo kwenye system muda mrefu na yupo hapa kutuongezea stress.Tumsamehe bure,jobless tunadata vibaya sana[emoji23],pengine ndo njia yake ya kujifariji tu
mtu wa kwenye system hana akili zake hazipo makalioni.Huyu huenda hata siyo jobless, anaweza kuwa ni mtu ambaye yupo kwenye system muda mrefu na yupo hapa kutuongezea stress.
pinacoladee hali unaionajeAnatak mkimbizane kuchungulia web😂
Hali ni mbayapinacoladee hali unaionaje
mmhh tutakufa tumesimamaHali ni mbaya
Yaniii daah,ata iyo media tour yao km kelele tu hamna kitu yte yale yale tu,still watu wanaitwa dommmhh tutakufa tumesimama
wajinga kweli.sasa hapo pdf mpaka warudi nahisi litakua zito mnoYaniii daah,ata iyo media tour yao km kelele tu hamna kitu yte yale yale tu,still watu wanaitwa dom