Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Twendelee kuvuna mpinga na mahindi tu, tupate chakula ili tushibe
Kumbe ndo maana watanzania wazelendo na nchi yao ila hawatoi kodi katika biashara zao kwasababu wamejitafuta wenyewe kwa ugumu bila kupewa msaada au mkopo wowote na serikali kwa ujmla afu wakipata au kufungua kampuni zao eti walipe kodi kwa hali hii lazima watu wakimbie kodi
 
Kwanzia chini hadi kule juu ni walasimu wakubwa siamba mama siamba
Tusubiri pdf na chenja

“Naapa na aidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda hadi kufa”

Kuna mtu mmoja anakwambia usimlaumu kiongozi wako jilaumu ww uliye mpa authority na kumuamini kuwa kiongizi wako sasa hapo mm kosa langu ni lipi, Kinabaki ni kumuomba Mungu atende miujinza kulingana na atakavyo, ivi aliye toa wazo la sheria kuwa neno la raisi ni sheria alikuwa na uwezo gani na maono gani haaaa hadi leo namtafakari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…