Watatuajiri tu...kuna pdf nzito JulyWenye mamlaka ....Wanatunyima Usingizi kwa jobless
Aah July si ndo hii apa j3 ijayo😀Watatuajiri tu...kuna pdf nzito July
Eeh mwaka mpyaAah July si ndo hii apa j3 ijayo😀
aisee yaani eti pdf nalo lina muda wake kama muda wa kula vile🤣🤣🤣kazi ipo aisee
Ni kusudi tu wanafanya na kuto jali hisia za ajira kwa vijana watanzaniaaisee yaani eti pdf nalo lina muda wake kama muda wa kula vile
Yaniiii aiseee apa nimeshatembelea iyo web yao sjui mara ngapi😂aisee yaani eti pdf nalo lina muda wake kama muda wa kula vile
Nashindwa kuelewahaya TBC wametoa ajira uko
Psrs hawaeleweki, we subir tu nafas yako ipoNashindwa kuelewa
Mwaka huu Februari nilifanya interview ya TBC ya photojournalist nikafika mpaka oral ila kwenye pdf nikachinjwa.
Leo wametoa kazi afu kuna mahali nafit kama ilivyo mara ya kwanza kwenye interview ya photojournalist na qualifications ni zile zile ambazo nilifanyia interview.
Kwahy inamaana kuwa nilifeli oral?
Sawa kwahy inamaana wngn wote tulifeli hvy hakuna aliyekuwa kwenye kanzidata ili apangiwe kwenye hii kazi iliyotoka leo?
Mkuu nenda tu kwnye hii interview tena usiiache kabisaNashindwa kuelewa
Mwaka huu Februari nilifanya interview ya TBC ya photojournalist nikafika mpaka oral ila kwenye pdf nikachinjwa.
Leo wametoa kazi afu kuna mahali nafit kama ilivyo mara ya kwanza kwenye interview ya photojournalist na qualifications ni zile zile ambazo nilifanyia interview.
Kwahy inamaana kuwa nilifeli oral?
Sawa kwahy inamaana wngn wote tulifeli hvy hakuna aliyekuwa kwenye kanzidata ili apangiwe kwenye hii kazi iliyotoka leo?
ShwaaaaaaaShwaaaa...
🙏Mkuu nenda tu kwnye hii interview tena usiiache kabisa
kama ndo ivo basi we apply tena tu kama inawezekana hiyo ndio unatoka sasa..Nashindwa kuelewa
Mwaka huu Februari nilifanya interview ya TBC ya photojournalist nikafika mpaka oral ila kwenye pdf nikachinjwa.
Leo wametoa kazi afu kuna mahali nafit kama ilivyo mara ya kwanza kwenye interview ya photojournalist na qualifications ni zile zile ambazo nilifanyia interview.
Kwahy inamaana kuwa nilifeli oral?
Sawa kwahy inamaana wngn wote tulifeli hvy hakuna aliyekuwa kwenye kanzidata ili apangiwe kwenye hii kazi iliyotoka leo?
no way we tunza miamala tu unayonunulia vocha.siku ukilamba asali kawaoneshe pale wakurudishie hela yakoYaniiii aiseee apa nimeshatembelea iyo web yao sjui mara ngapi😂
halafu ni saa 12UTUMISHI PSRS wa Sasa ni wa kishamba sana.
PDF jumatatu hadi ijumaa weekend hakuna.
PDF page mbili mwisho.
PDF mwanzo wa mwezi hakuna mpaka tar 15 ya mwezi.
😂tatizo marks za oral ni siri yawesekana ulipata 25% na ata wenzako hamkufika 50% endelea kuomba tena na udhuria usaili mkuuNashindwa kuelewa
Mwaka huu Februari nilifanya interview ya TBC ya photojournalist nikafika mpaka oral ila kwenye pdf nikachinjwa.
Leo wametoa kazi afu kuna mahali nafit kama ilivyo mara ya kwanza kwenye interview ya photojournalist na qualifications ni zile zile ambazo nilifanyia interview.
Kwahy inamaana kuwa nilifeli oral?
Sawa kwahy inamaana wngn wote tulifeli hvy hakuna aliyekuwa kwenye kanzidata ili apangiwe kwenye hii kazi iliyotoka leo?