pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Labda hiki ulichokifanya kinaweza kuamsha huu uzi, maana na mimi nilijiunga na huu uzi kwa sababu niliona nyuma kuna msaada wa tipsza psrs, lakini kinachonishangaza ni kutopokea majibu, sasa sijui wa kada yangu ndo hawamo humu?π₯²Kijana wizy hakuacha kunipa nasaha mbali mbali ambazo zilinibeba kwa kweli. Ubarikiwe sanaaaa kiongozi
Hii kitu ndio ilikuwa final kwangu. Ni kwamba Mwifwa alisema hii ilimsaidia kupata maswali mawili kwenye interview yake ya NAOT. Namimi nikaona kwann nisitafute kitabu kama icho kwa upande wa Takwimu. Niliingia NBS ( NATIONAL BUREAU OF STATISTICS) Nilikikuta na kukipakua.Hii mbinu niliitumia kipindi nasubiri shortlist ya NAOT, ingawa sikuwa na uhakika wa kuwa shortlisted.
Nilimuona Dr. Ntuli Kapolongwe wa OR-Tamisemi kule Linkedln alipost hii guideline. Nikaona watu wanamuomba awatumie na mimi nikamuomba akanitumia.
Nilipokupitia nikaona kinaeleweka, nikaishi nacho.
The rest was history, nilipata maswali mawili kutoka humuView attachment 2410364
Hii kitu ndio ilikuwa final kwangu. Ni kwamba Mwifwa alisema hii ilimsaidia kupata maswali mawili kwenye interview yake ya NAOT. Namimi nikaona kwann nisitafute kitabu kama icho kwa upande wa Takwimu. Niliingia NBS ( NATIONAL BUREAU OF STATISTICS) Nilikikuta na kukipakua.
Huwez amini written sikukuta swali hata moja lakin nilivoingia oral nilikutana na msawali Matatu yawazi kabisa na majibu yapo mule.
Maswali niliyoulizwa oral
1. Explain about yourself
2. Features za Parameter and Estimate
3. Procedures za kukusanya taarifa ukiwa sehemu ngeni ya kazi
4. Guidelines za kukusanya Takwimu
5. Features of Normal Distribution.
Swali la pili mpaka la nne lilikuwa kwenye icho kitabu ila swali la kwanza na la mwisho nilishayafanyia kazi toka mda tu.
Nikajikuta napata matumaini ya kupata kazi na ikawa ivo kama Mungu alivopanga.
MWISHO. Nawapa shukrani wengi walionipa moyo na kunipa ushirikiano kwenye kipindi chote cha utafutaji Mungu awabariki sanaaaaaaa.
π€£π€£π€£muda si mrefu kwenye call for interview patakua hapatamaniki π€£ π€£
sasa hivi pasafi subiri mpaka jioni mbona utabaki mdomo waziπ€£π€£π€£
UmriKaa kwa kutulia phina hauwezi kuajiri mtu kamaliza 2024 kisa kafaulu interview wakati kuna wa 2019.
Afya na elimu hata kama zimepitia humu ila ni special msubiri mjionee.wenyewe
Wanajikutaga special group. Waje wakacheze sasa na matipo choisi πππwanasema wamefanya kaz mwaka mzma...sasa interview ya nn
Wawekewe na practical ndio rahisi kupunguza idadi kubwa ya watu.Mambo yamebadilika ss ivi competition ni kubwa,wapo wengi nao,sema wnyew kigezo Chao kikubwa ni kwamba wapo waliomaliza kitambo sjui 2005 ndo waanze kuchukuliwa na awa wa 2022/2023 hawatak kuwapisha wakubwa zao π vita ni vita mulaa
Unawatakia nn vijana...mbona unawafanyia ukatiliWawekewe na practical ndio rahisi kupunguza idadi kubwa ya watu.
yaani mtu unaweza ukapita ukazani hakuna tangazo la maana kumbe mahalmashauri yameziba kwa juu vitu muhimu vipo chini π€£ π€£Halmashauri zimetema...
Nilimuona Dr. Ntuli Kapolongwe wa OR-Tamisemi kule Linkedln alipost hii guideline. Nikaona watu wanamuomba awatumie na mimi nikamuomba akanitumia.
Hahahaa.Hii kitu ndio ilikuwa final kwangu. Ni kwamba Mwifwa alisema hii ilimsaidia kupata maswali mawili kwenye interview yake ya NAOT. Namimi nikaona kwann nisitafute kitabu kama icho kwa upande wa Takwimu. Niliingia NBS ( NATIONAL BUREAU OF STATISTICS) Nilikikuta na kukipakua.
Huwez amini written sikukuta swali hata moja lakin nilivoingia oral nilikutana na msawali Matatu yawazi kabisa na majibu yapo mule.
Maswali niliyoulizwa oral
1. Explain about yourself
2. Features za Parameter and Estimate
3. Procedures za kukusanya taarifa ukiwa sehemu ngeni ya kazi
4. Guidelines za kukusanya Takwimu
5. Features of Normal Distribution.
Swali la pili mpaka la nne lilikuwa kwenye icho kitabu ila swali la kwanza na la mwisho nilishayafanyia kazi toka mda tu.
Nikajikuta napata matumaini ya kupata kazi na ikawa ivo kama Mungu alivopanga.
MWISHO. Nawapa shukrani wengi walionipa moyo na kunipa ushirikiano kwenye kipindi chote cha utafutaji Mungu awabariki sanaaaaaaa.
Shukrani sana mkuu, tuishiBaada ya jamaa kupata placement nilirudia text zake zote za nyuma nikakutana na hii nikaibeba na kujipa moyo nikitoboa written napita na hii idea. Bwana Mwifwa ubarikiwe sanaaaaa
Brother vp!Hahahaa.
Uliupiga mwingi sana mkuu.
Hongera sana kwa kukamilisha hiyo mission
PM nishaiona nitakujibu usijali.Brother vp!
Nimeku pm naona kimya
usibadilishe kitu chochote wapigie simu waambie watakuweka majina ya nyongezaWakuu msaada nimejibiwa hivyo na wakati vyeti vyote niliupload kwenye acc yangu.
Kama kwenye written fanya ulivyo ambiwa lakini kama ni kwenye oral eleza kidogo lakini muhimu ni kuzingatia muda hata kwenye written ni muda muda mudaJust mention no need to explain π,ivi ukiambiwa mention 5 kuna wanao explain in details,isije ikawa umeenda out the question?
Na walimu inabidi waanze kufanyiwa usaili πππππWatu wa afya wawe wapole sasa wataenda kujua ile survival of the fittest inavyokua applied ktk vita yetu hii ya ajiraπ