Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oral nilifanyia dom, nakumbuka nilala msikiti wa wanafunzi. chuo kilikuwa hakijafungwa.

Kaka nimecheka hapa nakumbuka 2018 kuna bro anamaliza chuo ana GPA ya 2.3 yule hatakaa apate kazi🤣🤣🤣😍😂😂😂😂 alikua anasup kila semester
Ndio akili zako zilipoishia hapo. Unafikili kila kazi ya serikali inahitaji GPA kama ya ukufunzi wa vyuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…