Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa ndugu unataka wenye digrii au wenye diploma wafanyiwe usaili halmashauri?
Ila utumishi.

Watu tumepambana interview mwaka jana Oktoba, 2023 hadi oral tukafika.

Cha ajabu nafasi tulizofanyia nterview szimetangazwa tena from tamisemi. Je inamana database haifanyi kazi?

Ila utumishi, ila Tanzania.
Yawezekana hujafaulu,yawezekana umefaulu umeshatengwa taratibu tu za ndani zinasubiri kukamilika.
Yawezekana,yawezekana nk nk.
Cha muhimu endelea kuomba ajira kama ipo ikitoks itakukuta tu.Sasa kama mpo 6 kwenye database halafu zimekuja nafasi 10 psrs wasitangaze hizo 4??
Dogo tuzidi kuongeza received
 
KUmekucha wasaka ajira. Ni siku nyingine tena. Nasubiria interview nimeshakunywa point za kutosha mpaka zingine zinamwagika. Utumishi tuiteni tufanye interview fasta tuendelee kusikilizia na kuomba dua ya placement
 
Habari za Asubuhi
Namshukuru Mungu sana kwa siku ya Jana na mm nimeweza kulamba asali hii ikiwa ni oral yangu ya kwanza kuingia apo mwezi wa tano (nilikandwa written kama nne hivi ).. Namshukuru Kwa kweli Mungu Sina Cha kumrudishia hakika wakati wake yeye ndo sahihi kwa maisha yetu ..Nizidi kuwasihi ndugu zangu tuendelee kuvuta subira wakati wa Mungu siku zote ndo wakati sahihi..
Lord God bless you all ..tupo pamoja . Asanteni sana
 

Hongera sana. Jiandae na depo la miezi mitatu kama sehemu ya induction 😁 😁 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…