Sijafanya usaili MimiPole mkuuu hao ndio utumishi mkuu
Kwani zimetoka??Pole mkuuu hao ndio utumishi mkuu
Tena umeze zile panadol advance.Ukikandwa na utumishi yaani kichwa unakisikia kizito wiki nzima. Usiombe kabisa maumivu ya kukandwa ya PSRS. Yaani unatakiwa uwe na panadol pembeni wakati unaangalia matokeo. ukiona tu NOT SELECTED meza panadol fasta kisha ulale π
Ht wa afya nao wana mitihani yao kulingana na nafasi walizoomba, na hvy hvy itakuwa kwa waalimu."kwa fikra zetu za kawaida je, walimu wootee watakuwa na mtiani mmoja au huenda kutakuwa na mtiani wa physics kwa walimu wa physics ,, geography kw walimu wa geography n.k??" -Emma.
Issue za kawaida sasa unaandika maarage unataka uwe selected ili iweje mkuuUkikandwa na utumishi yaani kichwa unakisikia kizito wiki nzima. Usiombe kabisa maumivu ya kukandwa ya PSRS. Yaani unatakiwa uwe na panadol pembeni wakati unaangalia matokeo. ukiona tu NOT SELECTED meza panadol fasta kisha ulale π
Hapana mkuu, mimi sipo huko.Shingapi braza nikutaftie nikupe maana mtaani hali mbaya
Ndio, kama ni 50% utaiona imekuwa displayed, then baadae ndio zitafuata SELECTED, NOT SELECTED for Oral kupitia Akaunti za Ajiraportal na PDF ya matokeoKwa hyo uki submit tu majibu unayapata hapohapo
Kama walimu mnaogopa mitihani, hii imekaajee π€π€π€"kwa fikra zetu za kawaida je, walimu wootee watakuwa na mtiani mmoja au huenda kutakuwa na mtiani wa physics kwa walimu wa physics ,, geography kw walimu wa geography n.k??" -Emma.
Wacha wakakandwe mkuu walizoea kupangiwa vituo bila usaili wengine baadhi ya walimu ukisema ume fail usail anakuona hujui kituKama walimu mnaogopa mitihani, hii imekaajee π€π€π€
Lengo ni mchujo.Nimeangalia matokeo ya kada ya Dental na Famasi.
Nimeshindwa kuelewa lengo la utumishi kwa kweli.
Ndio mkuuππUmechukua Barua yako Migiro nini[emoji3][emoji3]
Sio kweli mkuu mfumo hautoi majibu hapo kwa hapo.Ndio, kama ni 50% utaiona imekuwa displayed, then baadae ndio zitafuata SELECTED, NOT SELECTED for Oral kupitia Akaunti za Ajiraportal na PDF ya matokeo
Internet ipo vizurii tu ila huruhusiwi ku google.Naomba kuuliza hivi hiyo mitihani ya online hizo computer zinakuwa connected na internet si ndio??
Kwa hiyo ni spidi yangu tu ku google
Kwa IT ndio sahau kabisa mambo ya kuotea..Naomba kuuliza hivi hiyo mitihani ya online hizo computer zinakuwa connected na internet si ndio??
Kwa hiyo ni spidi yangu tu ku google
. Hili neno "kukandwa" ni baya sana ππ.Wacha wakakandwe mkuu walizoea kupangiwa vituo bila usaili wengine baadhi ya walimu ukisema ume fail usail anakuona hujui kitu
Tubadili sio. Hili neno "kukandwa" ni baya sana ππ.