sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Nouma sema nini nacho ni kipindi ila mwaka huu lazima tutimbe migiro tuzidishe maombi I believe we are champion πhivi kuna mtu jobless hayuko frustrated humu π€£ π€£
Mmmh wakuu inasikitisha kwa kweli aisee, mambo ni magumu sana
Mpaka masaa ya kulala usiku yanapungua ni stress tu....hivi kuna mtu jobless hayuko frustrated humu π€£ π€£
Hapa utajibiwa kwa kubeti, kiufupi hamna mwenye uhakika na hili maana sisi hatuhusiki huko bali sisi ni wasubiliaji tuπ€ yanayotuhusu sisi ni kisubilia placements na kufanya saili zao, hayo mengine tuyaache tu maana yatatuongezea pressure na pressure ikizidi tutaanza kutukana, mwisho wa siku tutamkosea na kumkufuru Mwenyezi Mungu πMie naomba kuuliza iv Hawa waliopo database wanaitwa kazini kulingana na max walizopata au wanapick randomly
Mie naomba kuuliza iv Hawa waliopo database wanaitwa kazini kulingana na max walizopata au wanapick randomly
Mshindi anapatikana kutokana na alama kubwa/Max hvy n kupasua tuu usaili zao na hata Database nako inategemea na max zakoHapa utajibiwa kwa kubeti, kiufupi hamna mwenye uhakika na hili maana sisi hatuhusiki huko bali sisi ni wasubiliaji tuπ€ yanayotuhusu sisi ni kisubilia placements na kufanya saili zao, hayo mengine tuyaache tu maana yatatuongezea pressure na pressure ikizidi tutaanza kutukana, mwisho wa siku tutamkosea na kumkufuru Mwenyezi Mungu π
Mkuu inakatisha tamaa sana aisee sijui kama wote wanapitia kama mmPunguza pressure, kunywa maji ya baridi kwanza upoe. Safari ya maisha ina vijimambo na ndivyo vinafanya maisha yanakua full of memories.
Ama kweli utumishi wamejua kuwanyoosha Electrical Engineers π π π π πPdf la uchovu sanaa
Umeshaenda kwenye mikando ya Temesa na TAA ?Pdf la uchovu sanaa
Marabiosh mpaka useme mwaka huu , wewe si ndio ulikuwa unawafokea wale wahuni kwenye interviews ?ππππhakuna kitu apo
mpaka niseme au mpaka tuseme.umeamua kujitoa π€£ π€£Marabiosh mpaka useme mwaka huu , wewe si ndio ulikuwa unawafokea wale wahuni kwenye interviews ?ππππ
Mkuu inakatisha tamaa sana aisee sijui kama wote wanapitia kama mm
Mimi mwenzenu nishakuwa dalali mkomavu mtaani sasa hivimpaka niseme au mpaka tuseme.umeamua kujitoa π€£ π€£
Engineers tu wote hali tete....kwa mbaali civil wanazingatiwa...mpaka niseme au mpaka tuseme.umeamua kujitoa π€£ π€£
MkuuKuna wanaoptia zaidi yako mkuu, jipe moyo, all shall be well. Kuna mshkaji wangu huwa yuko taasisi yenye asali kinoma jana amegundulika ana tatizo la kisukari na kilikua kimeshaanza kuharibu figo zake. Jamaa hana raha tena ya kuishi.
Ukiwa tu mzima wa afya, ni bonge moja la baraka mkuu.
Tanzania ni worse na too bad hata serikali yenyewe haijawahi admit kwamba hili ni janga kubwa sana kwa vijana wa nchi hii kwa sasa kuliko kitu kingine chochote , Tz ajira ni ngumu na ujasiriamali pia si lelemama ,mpaka kivumbi kitimke haswaaHili suala la ajira janga hata marekani...mdahalo wa trump vs Kamala wametamba kuongeza ajira...