Page ya watanzania walioko nje kuomba ajira
Ndo wachanganye mambo sasa
Ajira portal ya login hiyoPage ya watanzania walioko nje kuomba ajira
Umeitoa wap hyo kaka
Naona huku in incorect username log inAjira portal ya login hiyo
Kuna wengine inagoma na kuandika incorrect log in!! Nadhani ni mchezo mchafu unachezwa hapa!! PSRS toeni tamko!!
😂😂😂😂😂😂Ati nini, mchezo mchafu😁 😁 😁 PSRS wako fair sana, vuta subra. Tovuti inapokea traffic nyingi sana as watu wengi sana wanakaribu kuingia hivyo inalemewa
Tatizo kuna watu walikuwa hawajakopi hata Examination number!! Kuleta utulivu ni vizuri PSRS wakatoa tamko ili kutuliza hali ya hewa!! Hivi kwa sasa kuna mtu anaweza kuingia kwenye akaunti yake na akaikuta haina tatizo lolote?😁 😁 😁 PSRS wako fair sana, vuta subra. Tovuti inapokea traffic nyingi sana as watu wengi sana wanakaribu kuingia hivyo inalemewa
Cheti cha Chuo hakikupigwa mhuri wa mwansheria au Hakimu.
Mzee wa TCRA kumbe bado upo. Hawajawaita interviewWakuu ajira portal limtandao lao linanigomea. Inakera sana eti nimekosea password wakati kila siku na log in kwa fingerprint
🤔🤔🤔Tatizo kuna watu walikuwa hawajakopi hata Examination number!! Kuleta utulivu ni vizuri PSRS wakatoa tamko ili kutuliza hali ya hewa!! Hivi kwa sasa kuna mtu anaweza kuingia kwenye akaunti yake na akaikuta haina tatizo lolote?
PSRS wanataka ku-Pdidy jobless.😂😂😂😂😂😂Ati nini, mchezo mchafu
Tena wafanye mapema kabla hawajatoa pdf la majina ya nyongeza, ndo hao ambao wanakutanaga na hizo changamotoCheti cha Chuo hakikupigwa mhuri wa mwansheria au Hakimu.
Ila kama ulipiga mhuri wapigie simu au nenda Ofisini kwao watakuongeza kwwnye orodha.
Hv hua hamchoki kuuliza hivi?Pdf wamekumbwa na nini jamani Hawaiiti tena watu kazini?
🤣🤣🤣🤣Hv hua hamchoki kuuliza hivi?
Sasa hii pdf ya leo sijaelewa wameanza kuchukua watu wa afya kama hawa wa leowashatoa imekuaje
Wewe na mm Hatuna kazi kwanini tuchokeHv hua hamchoki kuuliza hivi?
Mbona wameita mkuu waliofanya trh 22/7 to 12/9 na kanzi dataPdf wamekumbwa na nini jamani Hawaiiti tena watu kazini?