Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

oya hivi tutatoboa kweli mbona wana wanaaga mashindano hivi.naona kabisa tunaenda kua wafuta vumbi wa uzi
Kuna ambaye unasoma huu uzi haupo kwenye database na kitu pekee unachotumainia ni kuitwa kwenye usahili, tujipe moyo, wakati wetu utafika. Kipimo kingine cha uvumilivu wa moyo wa mwanadamu ni ule wakati wa kuyashudia na kuyafurahia mafanikio yawenzako pindi wanapo itwa kazini. kila mtu atafikiwa kwa wakati wake tusichoke wapambanaji
 
ok ngoja tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…