pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Asante sana mkuu 🙏Hongera sana
Leo umeamini Mungu anatenda....Kuna comment ulisema ni ndoto kupata Taasisi Tamu...Daaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
Hongera mzee hilo ni buyu la asali lilioongezewa na sukari juu..Daaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
oya hivi tutatoboa kweli mbona wana wanaaga mashindano hivi.naona kabisa tunaenda kua wafuta vumbi wa uzi1. Omba Mungu
2. Omba nafasi hata kama ni moja.
3. Fika oral
4. Acha malalamiko
5. Omba mungu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera mkuu usikimbilie kuoa rudishia mwili pole kwanza😄Daaah kaka wewe acha tu, Mwenyezi Mungu ni wa kushukuru sana, leo nilikua nimefunga ila nimeshindwa mpaka kula jioni na njaa sisikiiii🤗🤗🤗 ni furaha iliyoje?
Tuwe wapole na tumuombe Mungu tuu.oya hivi tutatoboa kweli mbona wana wanaaga mashindano hivi.naona kabisa tunaenda kua wafuta vumbi wa uzi
Kuna ambaye unasoma huu uzi haupo kwenye database na kitu pekee unachotumainia ni kuitwa kwenye usahili, tujipe moyo, wakati wetu utafika. Kipimo kingine cha uvumilivu wa moyo wa mwanadamu ni ule wakati wa kuyashudia na kuyafurahia mafanikio yawenzako pindi wanapo itwa kazini. kila mtu atafikiwa kwa wakati wake tusichoke wapambanajioya hivi tutatoboa kweli mbona wana wanaaga mashindano hivi.naona kabisa tunaenda kua wafuta vumbi wa uzi
Daaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
Hongera mkuu usikimbilie kuoa rudishia mwili pole kwanza😄
ok ngoja tusubiriKuna ambaye unasoma huu uzi haupo kwenye database na kitu pekee unachotumainia ni kuitwa kwenye usahili, tujipe moyo, wakati wetu utafika. Kipimo kingine cha uvumilivu wa moyo wa mwanadamu ni ule wakati wa kuyashudia na kuyafurahia mafanikio yawenzako pindi wanapo itwa kazini. kila mtu atafikiwa kwa wakati wake tusichoke wapambanaji
Namimi nipo mkuu, sema nimekuwa msomaji tu na sio mchangiaji maana saiz humu ndani watu wamezidi kuchafukwa tofauti na zamaniNmesoma comments za member wa mwaka jana sion hata mmoja active lately ni ww tu umebaki basi ikawe kheri na sisi jobless 💯
Aloooh😁Hongera mzee hilo ni buyu la asali lilioongezewa na sukari juu..
Tupite humu humu wanangu hakika Mwenyezi Mungu anatenda1. Omba Mungu
2. Omba nafasi hata kama ni moja.
3. Fika oral
4. Acha malalamiko
5. Omba mungu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sanaDaaaah wazeeee[emoji847][emoji847]Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah[emoji849] eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
😂😂😂Aya sawa mkuuHongera mkuu usikimbilie kuoa rudishia mwili pole kwanza😄
Asante mkuu, nanyi naamini mpo nyuma yetuHongera sana
Ikawe kheri nasi.ngoja tusubiri interview zetu.yan kuna muda unahisi ndo mimi naenda kuchukua barua migiro.Asante mkuu, nanyi naamini mpo nyuma yetu
Hongera Mkuu. Huwa Nina comment mara Moja Moja na Mimi nasubiria buyu la AsaliDaaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
Hongera sana ndugDaaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)