Sawa brotherNjoo pm mdogo angu
Nimekucheki mkuuNjoo pm mdogo angu
Unaeza niambia pale #aicc wanalipaje kaa ngazi ya diploma afyahii radiology si watu wa afya walifanyia interview sasa kulikua na haja gani ya kutangaza si wangechukua tu mtu wa muweke na pdf la jana.istoshe si majuzi tu hapa watu wa afya waliitwa AICC
Waachie Pdf ya Database Watutoe mtaa kama wao walivyopeana Offer za watoto wao kupitia ajira za mkataba kwenda ajira za Kudumu....Tuonane Mwakani View attachment 3182879
Oyaa kaangalie pdf mkuu huenda upo ufunge mwaka kibingwaWaachie Pdf ya Database Watutoe mtaa kama wao walivyopeana Offer za watoto wao kupitia ajira za mkataba kwenda ajira za Kudumu....
Ndo tutawaelewa kuliko wanajaza mapichamapicha ya safari zao wanaacha Lengo la website yao haina tija kwetu watafutaji....
Naimani nitapata Mungu mwemaDaah nikikumbuka kipindi natafuta ajira aisee MUNGU mkubwa sana. Msikate tamaa wadau ipo siku yako wala hautatumia nguvu utashangaa umepataje kazi.
Bado bila bila mkuu.....Oyaa kaangalie pdf mkuu huenda upo ufunge mwaka kibingwa
Huu uzi ni sehemu salama sana kukupa a, b, c kuhusu interview za psrps
Mimi ni mgonga ulimbo ambae sijakata tamaa kwa mara ya kwanza nilishiriki mchakato wa interview za psprs kwa kada yangu ya afya mwezi december nikaliwa kichwa kwenye written tu😁nilihisi kukata tamaa sema mtu wa maana sana humu Mwifwa katika baadhi ya post zake alisisitiza kutokata tamaa na tusiache kutuma maombi.
Nikatuma maombi kwenye post moja ya chuo cha serikali mjini dsm, Mungu si Athumani nikaitwa kwenye usahili zingatia wanataka mtu mmoja tukaitwa 317
Nikakumbuka tena bro Mwifwa husema hata kama nafasi moja kashiriki interview sikuwa nimesoma chochote nikashiriki na tukafika watu 127 tu kwenye usahili wa written
Nikafanya ila sikuwa na matumaini ya kuitwa oral bahati nzuri tukachaguliwa watu 12 kwa ajili ya oral ambayo naifanya soon.
I wish kupata a, b, c, d kuhusu oral interview za psprs maana hii ndio inaenda kuwa ya kwanza kwangu.
Natanguliza shukrani
Huu uzi ni sehemu salama sana kukupa a, b, c kuhusu interview za psrps
Mimi ni mgonga ulimbo ambae sijakata tamaa kwa mara ya kwanza nilishiriki mchakato wa interview za psprs kwa kada yangu ya afya mwezi december nikaliwa kichwa kwenye written tu😁nilihisi kukata tamaa sema mtu wa maana sana humu Mwifwa katika baadhi ya post zake alisisitiza kutokata tamaa na tusiache kutuma maombi.
Nikatuma maombi kwenye post moja ya chuo cha serikali mjini dsm, Mungu si Athumani nikaitwa kwenye usahili zingatia wanataka mtu mmoja tukaitwa 317
Nikakumbuka tena bro Mwifwa husema hata kama nafasi moja kashiriki interview sikuwa nimesoma chochote nikashiriki na tukafika watu 127 tu kwenye usahili wa written
Nikafanya ila sikuwa na matumaini ya kuitwa oral bahati nzuri tukachaguliwa watu 12 kwa ajili ya oral ambayo naifanya soon.
I wish kupata a, b, c, d kuhusu oral interview za psprs maana hii ndio inaenda kuwa ya kwanza kwangu.
Natanguliza shukrani
Asante sana ndugu yanguPita apo Mkuu unaweza pata kituHints za kufaulu Oral Interview za Sekretariet ya Utumishi wa Umma
Unapofanikiwa kufaulu written/alternative practical na kwenda hatua ya oral interview Basi jiandae hivi unapokuwa mbele ya panel 1.kama kada yako inahusisha kazi ambazo Mara nyingi mtakuwa site Basi vaa kawaida usivae suti ukawa smart Sana kupitiliza. vaa viatu vya site Kama Ni boot,cardet n.k...www.jamiiforums.com
Asante sana mkuuPitia uzi aliosuggest mdau hapo juu. Pia usisahau kufanya rehearsal. Anza kufanya practice ya namna utakavyokua unajibu especially kwa maswali ya mwanzo ya utambulisho na kutaja responsibilities. Ni kweli hujui maswali gani yatakuja ila ukijiandaa namna utakavyokua unaflow, inasaidia kuboost confidence na kuonekana unajua unachokisema.
Rizimoko anakuchora tu halafu anajiuliza kwa hio yeye hujamuona umemuona Mungu tu?Mungu awasaidie wote mnaotafuta ajira.
Hongera sana mkuu, kila la kheri kwenye hatua hiyo mbeleni.Huu uzi ni sehemu salama sana kukupa a, b, c kuhusu interview za psrps
Mimi ni mgonga ulimbo ambae sijakata tamaa kwa mara ya kwanza nilishiriki mchakato wa interview za psprs kwa kada yangu ya afya mwezi december nikaliwa kichwa kwenye written tu[emoji16]nilihisi kukata tamaa sema mtu wa maana sana humu Mwifwa katika baadhi ya post zake alisisitiza kutokata tamaa na tusiache kutuma maombi.
Nikatuma maombi kwenye post moja ya chuo cha serikali mjini dsm, Mungu si Athumani nikaitwa kwenye usahili zingatia wanataka mtu mmoja tukaitwa 317
Nikakumbuka tena bro Mwifwa husema hata kama nafasi moja kashiriki interview sikuwa nimesoma chochote nikashiriki na tukafika watu 127 tu kwenye usahili wa written
Nikafanya ila sikuwa na matumaini ya kuitwa oral bahati nzuri tukachaguliwa watu 12 kwa ajili ya oral ambayo naifanya soon.
I wish kupata a, b, c, d kuhusu oral interview za psprs maana hii ndio inaenda kuwa ya kwanza kwangu.
Natanguliza shukrani