@wizy mtumbwi wako wa vimbwengo(PURA) umeanza kuelekea kaanani[emoji3][emoji3][emoji3]Watu wa PURA, PPRA, AQRB, TBC, NACVET, WMA, nk
Unaweza kukata tamaaYan mwezi wa nne mpaka Leo Bado duh
Kikubwa tumepewa agenda ya kuishi nayo, bado J4 siku yenyewe tunatarajia mambo mengi zaidiWatu wataanza kutukimbia humu maana wadau walikuwa na mizuka kama yote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo wametoa kupunguza kelele lakini mkeka wenyewe ulioshiba bado unakuja kesho [emoji23][emoji23]
HahahahaaaYan nimedownload pdf alafu nikasach jina la kibantu la babu yangu Alafu inaandika NO MATCH kulaleki nikapgwa na ganzi
Si mlisema wanapata favour[emoji3][emoji3][emoji3]Sema hizi post mbona kama wanawake wamepata wengi sana aseeh[emoji3526]
MARUFUKU KUKATA TAMAA, KUNA WENGINE PIA WALIFANYA MWEZ WA TANO WAKAITWA WA MWEZ WA KUMI WENGI SANAYan mwezi wa nne mpaka Leo Bado duh
Hiyo placement ya mwajiri ganiMIMI NASUBIRI PLACEMENT TOKA MWEZI WA NNE HAIJATOKA, NAENDELEA KUA NA SUBIRA NAJUA WAKAT UTAFIKA TU MAMBO YATAKUA POA
😂😂😂😂😂Sasa naona favour imezidi mkuuSi mlisema wanapata favour[emoji3][emoji3][emoji3]
SLOGAN SAYS "MARUFUKU KUKATA TAMAA"Unaweza kukata tamaa
Hutakiwi kukata tamaa ikiwa bado upo haiMARUFUKU KUKATA TAMAA, KUNA WENGINE PIA WALIFANYA MWEZ WA TANO WAKAITWA WA MWEZ WA KUMI WENGI SANA
Wizara ya kilimoHiyo placement ya mwajiri gani
Kesho hawatoi siwametoa leo mkuu??Kesho ndo kesho asiyekuwa na bando akakope kabisa kwa mangi
Hawajawah kutoa Leo na kesho!!!!Kesho ndo kesho asiyekuwa na bando akakope kabisa kwa mangi
Kesho tukutane tena kuwasema utumishi 😂Kimeo changu kimekata moto ngoja NISIGN OUT. Kwa Leo wadau
Hizi zingine labda mwezi ujao au mwisho wa mwezi huuHawajawah kutoa Leo na kesho!!!!
Wadau sijui wameenda wapi aseehHumu hamna hata kicheko cha uongo?