Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hapa kuna kitu hakijakaa sawa,. Nimeona baadhi ya watu wanajaribu ku-justify hili kwa mwamvuli wa CPA,.

Ukwel usiopingika, CPA ziko nyingi mnoo mtaani, sio kitu adim tena nchini.
Sure wapo wa kutosha
 
wamezngatia nn hapo kuita watu oral moja kwa moja bila written?
Kigezo CPA kwa wahasibu na wanataka watu 100 shortlisted oral interview watu Ka 245 hv ratio nzr sana hii kutoboa ,kupata mrija .....waliobaki wachumi-70 ,watakwimu-70 ,mafisa mipango-26 hawa nazani written itahusu hapa maana nyomi inaweza kuwa kubwa ,vijana wasubrie pdf ya MDs na LGas
 
😂😂😂😂😂Kwa ninavyokufahamu utatupiga vikumbo na Subaru yako mzee hahhhh
Naweza nikafumba macho kama Sina Hela miaka miwili then navuta chuma ya maana watu waanze kuniita freemason mziki umetulia nikifika mtaani nafungua milango nachaa nyimbo ya darasa maisha na mziki naenda kulala 🤣🤣🤣

NB:SEMA MADEMU walionikataa kudadeki zao hata hawanijibu sms zangu wasap wananiblue tick tu mamamee na mie siwaambii kama nishakula asali hapa nasubri tu nianze kuvuta mpunga nikope Hela benki🤣(nitalipa maana sidaiwi na Helsb mie so fresh tu) then ninunie Subaru au crown 👑 hapa then nipost status mamaeeee
 
Utazoea hasira zitaisha!!!
 
😂😂😂😂Subaru ndo unyama sana mzee nyumba tutapanga aseeh sio Lazima kujenga hahhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…