Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mtaalam Wa Kutembea Na Flash Ya Pdf Hana Weekend Labda Asahau Pc Yake.
Itakuwa Anaclear Yale Yaliyo Expire Au Anaongez Same Details
Akiruhusu Muingie Muda Huo Inamletea Ugumu.
Ndo maan Wanafanyag Weekend Au Asubuh sanaa Saa 10 au 11.
Mshitueni huyo mtaalamu wa flash atupie placements maana jobless tuna wenge mtaani hatujui siku Wala saa ya kuingia kwenye mrija wa asali

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Usichoke mwanangu neema yaja wakati mwengine unashtua kidogo hizi shida hata kuvaa vizuri na kwenda showroom kulizia hata bei ya V8[emoji23] unaushtua kidogo hizi shida zetu

Hahaha! Mkuu utasababisha jobless wanaswe makofi huko kwenye showrooms.

Ukituliza akili ukamwangalia jobless machoni kwa umakini, unamjua tu.

Shida zina mbinu nyingi za kujiibua, hata ukitumia nguvu kuzificha.


(tunataniana siku ziende, tusichukulie serious).
 
Ameshaanza kututenga jobless wenzake [emoji38]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Nipo mkuu,sema majukumu mengine lazima yaendelee huku mtaani wakati tunasikilizia majibu ya hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…