Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ukisoma hivi written zote utakuwa unawapapasa tu lazima Yani hawezi kuruka
 
Kingine cha muhimu zaidi fatilia trends ya mitihani ya utumishi inavyoenda itakusaidia sana sana kwamfano mwaka Jana walikuwa wanatoa research lakini mwaka huu hawatoi research kwahiyo ukifatilia trends yao inakusaidia sio kusoma soma tu kama kichaa
 
Correct kufundisha ndiyo Kila kitu maana confidence,uwezo wako wa kudeliver ukaeleweka,una manage vipi wanafunzi..ukizingatia unaenda deal na watu wazima.unaweza jibu maswali yote ila kufundisha F ngumu kupata nafasi
Yes yani pale usitegemee umevuruga kufundisha eti wataangalia ulivyojibu hiyo haipo maana kazi unayoenda kufanya ni kufundisha Sasa kama umeshindwa wakuchukue ili ukafundishe nini??
 
For now nataka nijue tu maana Niko na Maandalizi yote..
Najua unanibeza Ila sio dhambi kutaka kujua
Daah nakubeza tena,mimi nilielewa unaelekea kwenye oral baada ya kushinda written, sidhani kama ni dhambi ungesema tu hapana nimeuliza tu ili nifahanu,usihukumu mtu mkuu nikubeze kwa lipi sasa mkuu?,anyway all the best.
 
Daah nakubeza tena,mimi nilielewa unaelekea kwenye oral baada ya kushinda written, sidhani kama ni dhambi ungesema tu hapana nimeuliza tu ili nifahanu,usihukumu mtu mkuu nikubeze kwa lipi sasa mkuu?,anyway all the best.
Msamehe jobless anastress za mrija wa asali...tuishi vzr wote watafutaji humu
 
Kwa ww ni panelist bro mpka unajua mpangilio wa marks uandaaji na presentation mark 60 na Q n A ina 40 ?? Tueleweshane vzr Mwaisa1202
Hapana ndugu yangu mie ni kama wewe tu natafuta mrija. Kuna usaili nilibahatika kufika oral baada ya kukaguliwa vyeti tukapewa muda wa saa moja kuandaa presentetion ya mada yoyote unayoijua...tukapelekwa kwenye chumba ili kuandaa wakatupatia karatasi tukaanza kuanzika sasa wakati natafuta kitu cha kukandamizia ndio nikaona hizo karatasi za wakandaji zinaonyesha mwongo huo ila azikuwa naasawali ila wamendika tu part A kuandaa na kuwasilisha mada (alama 60) sehemu B maswali mengine kwa ujumla (alama 40) na hizo karatasi zilizoandikwa hizo hazikufichwa zilikuwa wazi tu hivyo sio kama ni siri maana ingekuwa siri wasingeweka kwenye meza (sehemu ya wazi) maana mule ndani walituacha wenyewe tu tuandae hizo mada baada ya saa1 ndio wakaja wakakusanya zen wakatutoa wakaanza kuita mmoja mmoja kuanza mikando kutokana na kile ulichokiandaa. So leo nimeona niwajuze tu ili atakayebahatika kuitwa kwenye usaili wa kada za kufundisha muongozo ndio huo yaani maksi nyingi zipo kwenye kuandaa na kuwasilisha ulichokiandaa
 
Mwenye kusikia asikie na mwenye kuona aone presentation ina marks kubwa maana ndo kazi utakayoenda kufanya
Tunashukuru kwa muongozo mzee
 
Safi sana Mwaisa1202 Maana na hapa JF umeelimisha wengi sana hapa Maana watu wengi walikuwa hawajui mwongozo kweny marks , hii itamsaidia mtu amepewa dk 10 au 5 za kupresent ajue balance mambo kweny muda Maana muda huwa ni changamoto kweny kumaliza uwasilishaji wa topic yako kwa vitu ulivyo andaa.
 
Mwenye kusikia asikie na mwenye kuona aone presentation ina marks kubwa maana ndo kazi utakayoenda kufanya
Tunashukuru kwa muongozo mzee
@wizy [emoji122][emoji122] tunajaribu keuleweshana mfno post za TA unakuta duties na responsibilities
1.Teaching up students
2.prepare learning resources for students
3.Assist students in conducting research
4.prepare and conducting research
5.to assist and providing consultancy services to community
6.to perform any duties assigned by supervisor

mfno..hapo kweny hzo duties utakazotakiwa kufanya tunajua jukumu kubwa ni kufundisha hayo mengine vp, watayassess
 
Wazee mniombee namimi kwa mara ya kwanza ntakua udom kupiga pepa la utumishi .

Na itakua mara ya pili kufanya pepa za utumishi tuombeane pepa ya kwanza niliishia written hi hapa target yangu kufika oral tuombeane japo mpaka sasa sijapata nauli na sijui pakufikia na udom sipajui wakuu.
 
Safiri usku mzee ukaegeshe stand pale pako poa asbh unaamkia uwanja wa mkando
 
Unapo andaa presentation yako wanakuaccess kama unaweza kuwa na content kwaajili ya wanafunzi then kupresent pale waangalia content zako kichwani na jinsi unavyofundsha nakumanage darasa
Hizo research guidance zipo ndani ya hizi mbili hapa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…