Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Alaf kwanini hizi placement za zamani hawazitoi kwenye website. Advertisement na call for interview hutolewa kila siku lakini hizi placement za tangu July bado zipo tu. Yaani wengine tukiziona tunaumia roho tu
 
Alaf kwanini hizi placement za zamani hawazitoi kwenye website. Advertisement na call for interview hutolewa kila siku lakini hizi placement za tangu July bado zipo tu. Yaani wengine tukiziona tunaumia roho tu
wafuate
Alaf kwanini hizi placement za zamani hawazitoi kwenye website. Advertisement na call for interview hutolewa kila siku lakini hizi placement za tangu July bado zipo tu. Yaani wengine tukiziona tunaumia ro
lolote linaweza kutokea
 
Halafu kuna tetesu kuwa zile post za Heslb wanaohitajika ni 8 kutok kwenye vyanzo vyngu vy kuaminika

Halafu kuna tetesu kuwa zile post za Heslb wanaohitajika ni 8 kutok kwenye vyanzo vyngu vy kuaminika
Hilo jambo ni vigumu kutokea, kwani kutakua na harufu ya kuwekana katka nafasi hizo.

Mara nyingi huwa wanaongeza idadi tofauti na waliotangaza mwanzo. Nimeshudia hili taasis ikiwemo TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…