Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndo walikukataa kwakuwa hukwenda kwa Hakimu kucertify boss..?
Hapana, nyaraka zote ziko certified ila wanasema sijaweka leseni ilihali sijaona popote wanapoihitaji.

Hata wanavyotukagua hawaulizi cheti cha leseni, isipokuwa kinachotumika ni cheti cha usajili
 
Duuh hakuna kufa moyo mapambano bado yaendeleeee
Daah nimeonekana mdebwedo zaidi ya Mandonga, imagine Class mates wangu tuliopiga written juzi Dom, nimeambiwa karibia wote walifika oral, ila mimi nilitoka kapa.

Na leo tena walikuja, tena wameongezeka wengine ambao walikuwa vipanga darasani, hawajaishia hapo wengine washasoma hadi Masters, ila nikawa kumbe kusoma Masters sio tiketi ya kuwa na Connection, mtu una Masters unapambania mshahara wa mwenye degree 1.

Any way hali ya kitaa ndio inayotufikisha huku
 
Maandalizi tu man hakuna kingine,,,,Tukijiandaa vizuri kila kitu kinakuwa sawa,,,wapo watu wanafululiza hata mara nne written tu out ila hawafi moyo wanajipanga upya pia naamini inamjenga mtu vizuri kujua wapi huwa anakosea
 
Maandalizi tu man hakuna kingine,,,,Tukijiandaa vizuri kila kitu kinakuwa sawa,,,wapo watu wanafululiza hata mara nne written tu out ila hawafi moyo wanajipanga upya pia naamini inamjenga mtu vizuri kujua wapi huwa anakosea
Kweli mkuu, hapa nimefanyishwa revision kwa kiasi chache.

Nikiitwa tena written kama 2 hivi nitaweza kumaliza madesa ya semister zote
 
usife moyo,wakati wa mungu niwakati sahihi
 
Mimi niliitwa kada ya Tutorial Assistant mara 2
nimepiga madesa yote ya semister 6..

yaan now hata ikijaaa UE siwez kosa B plain au Plus.. n kukaa kwang kitaaaa
Kaka juma tano naingia kwenye mchujo (written interview) , tunafanyia DUCE kada Tutorial Assistant kiswahili ISIMU...nipe madini kaka, sijawai fanya mtihani wa tutorial assistant je format inakuwaje manaa utumishi hawaeleweki,
 
Guys wapi nawepa pata namba za jamaa wa ajira portal maana sijawa shortlisted kwa tatizo ambalo nilishalitatua kitambo na mpaka nikaanza kuitwa ila Sasa Kuna post nimenyimwa naambiwa tatizo Bado lipo na mi nikiingia kwa system sioni tatizo kila kitu Kiko sawa koz nlisharekebisha kitambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…