Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Inshallah kiongozi [emoji23][emoji23][emoji23]nianze kupost Subaru yangu sasa
Kuna group huwa naona matangazo haya, naishia kuyasoma tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
==================

Subari Forester no DPA
Gari kali sana,
Haina changamoto yoyote
Hiyo ni Turbo hiyo
Ina roof
Ndani safi
Haijarudiwa rangi kokote
Bei 18M tu, posho safi
Chap tuikimbize
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh Kuna na Volkswagen"tako la nyani hiyo kwenda dodoma nikugusa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…