Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna hali inanitesa sana, hasa kwenye situation kama hii ya kusubiri kitu muhimu. Kuna bad thoughts Huwa zinakuja kichwani kwangu. Nahisi kama taarifa zangu zitapotea, au labda kuna taarifa zimekosewa kujazwa.

Katika psychology hii disorder inaitwa OCD. Najaribu kujitoa katika mawazo hayo lakini bado hayo mawazo huja kichwani.

Basi nateseka sanaa😒
 
Safi sana,it very very easy and good.Niliwahi hitaji hii huduma wakati fulani but sikuipata.
 
Life is trial and error be strong mkuu.Tukipata sawa,tukikosa tuendelee kuomba
 
Ungefafanua taarifa zako zipi unahisi zimekosewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…