Sijui mtakuwa mnawausia nini kuhusu ajira ukizingatia mumepigika sana na PSRS[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chuo ndio kiwanda cha jobless Tanzania
Madogo nitawapa madini sana wenyewe watafurahiSijui mtakuwa mnawausia nini kuhusu ajira ukizingatia mumepigika sana na PSRS[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ama hujui unahokifanya, ama bado una utoto fulani hivi. Uniwie radhi kwa mtazamo huu.Mkuu jobless Huwa hatuchagui kazi sisi tukiqualify tu tunaomba issue za location hizo ni mambo za baadaye
Uwaambie ukweli kabisa usiwadanganyeMadogo nitawapa madini sana wenyewe watafurahi
Hapana kaka hujanikosea chochote it's your opinion boss.Though sidhani kama kuna mtu asiye na kazi na anayethink rationally akaona bora akae bila kazi kuliko kuomba kazi kwenye taasisi ambazo zinalipa vizuri, akisubiri mpaka taasisi zinazolipa vizuri zaidi zitangaze ndo aombe kazi tena kazi ambazo Hana uhakika kama atapata.Ama hujui unahokifanya, ama bado una utoto fulani hivi. Uniwie radhi kwa mtazamo huu.
Mtu mwenye machaguo kama wewe huwa anaweka mipaka mikali sana, kazi zinazoonekana za hivi hivi hawaombi, wanasubiri zile za taasisi zinazosifika kwa unono.
Msomi amelala yooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
PoleMsomi amelala yooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitawafundisha skills nyingi za kusurvive kitaa ukiwa joblessUwaambie ukweli kabisa usiwadanganye
Hata mimi ninaamini Wizy ni wewe , katibu mkuu mstaafu wa jukwaa la majobless Jf ,naona umeamua kula asali kimya kimya .Hata jinsi unavyo construct maongezi kwa maandishi humu haina tofauti na Wizy ,jamani ni yeyeeeeKaka sio mm ii account ni ya tereh 10 dec kama ulivo sema, last seen ya wizy ni tarehe 11 dec kama angetaka ku change ID ange badilishaa baada ya tareh 11 au tareh 11 hio2.
Mi naona una tamaa za huku na kule ukishapata kazi serikalini na ukapewa cheki number kapige kwanza kazi mzeeSawa boss, kwahiyo kama ikatokea nikaitwa TPDC naenda tu kama ilivyo kawaida sitohitaji kuwaonyesha barua ya mwajiri, maana up to now sijajiriwa bado ila ntaenda kuchukua barua tu.
Je kama nkiitwa kabla ya kwenda kuchukua barua ya ajira, ntahitaji kupeleka barua ya mwajiri kwenye interview ya hapo TPDC ?
Na kama nkiitwa nikiwa tayari nimeshachukua barua je nako nitahitaji kupeleka hiyo barua ya mwajiri kwa interview ya hapoa TPDC ?
Na what If nikija kuitwa nikiwa tayari Sasa nshaanza kazi ?
I'm confused wakuu[emoji848]. Kama Kuna mtu amenielewa anaweza kunipa maelezo yaliyochambuliwa vizuri Ili na mimi nielewe please[emoji120]
Kajisahau tena ,kaulizia statusSwitch Id tuliyoizoea mkuu
Weee, bora nisiende kazin kuliko kuiuza[emoji25][emoji25][emoji25]Utaniuzia hiyo biashara kama inauzika. I am serious
Ahsante, inabidi nipate course ya hesabu.Pole
Labda nikuuzie ujuzi, kitu cha kuanza mwenyewe ni bora kuliko kununua kitu cha mtu ambacho tyar alishakianzisha, unaweza nunua leo baada ya mwezi inakufa. Lakini nkikuelezea njia, machimbo, mbinu za kutangaza, kutafuta wateja unaweza ata yako izidi ya kwanguUtaniuzia hiyo biashara kama inauzika. I am serious
Na kamwe sifanyi uo ujinga wa kuwaaminisha tena mm sio yeye, coz ntatumia nguvu kubwa sana may b cku akirudi atanisaidia kwa hilo. Coz ni mtu mmoja tu alieamua kuaribu ID yangu wkingz na kuipeleka Wizy king, bila ya hii yote yasingetokea.Hata mimi ninaamini Wizy ni wewe , katibu mkuu mstaafu wa jukwaa la majobless Jf ,naona umeamua kula asali kimya kimya .Hata jinsi unavyo construct maongezi kwa maandishi humu haina tofauti na Wizy ,jamani ni yeyeeee
Shukrani mkuu, jf app ikikaa sawa nitaku inbox maana sasa hivi kila nikijaribu app inagomaLabda nikuuzie ujuzi, kitu cha kuanza mwenyewe ni bora kuliko kununua kitu cha mtu ambacho tyar alishakianzisha, unaweza nunua leo baada ya mwezi inakufa. Lakini nkikuelezea njia, machimbo, mbinu za kutangaza, kutafuta wateja unaweza ata yako izidi ya kwangu
Iii issue ni simple sana niliitaji kumjua mtu niliefananishwa nae. Nili comment makusudi tu. Nimepitia comment zake nyingi mpaka nikagundua kuwa issue ya status ni simple sana.Kajisahau tena ,kaulizia status
Sawa, tumia browser nasikia ukitumia browser inakubaliShukrani mkuu, jf app ikikaa sawa nitaku inbox maana sasa hivi kila nikijaribu app inagoma
mkuu mbn uzi zipo kibao kwann umerudi humu tena kwa Kasi.... Usituchukuliie cc watoto wadogo..Iii issue ni simple sana niliitaji kumjua mtu niliefananishwa nae. Nili comment makusudi tu. Nimepitia comment zake nyingi mpaka nikagundua kuwa issue ya status ni simple sana.
kwa research yangu status za web zinachange sana sidhani kama zina effect kwenye kutokea jina la mtu kwenye pdf isipokuwa only pale utapo andikiwa not shortlisted.
base na app coz inaonesha waliopata kazi 99% wana selected for null, coz sijaona case kwenye comment zake wizy mtu kawa not selected for null kapata kazi, pia ukiwa selected for null manake na hisi umefanya oral fresh sio gurantee ya ww kupata kazi. So kikubwa after oral play upate kwenye app selected for null, the rest mwachie mungu.
OP wa uzi huu yupo kwa ID nyingine, ID ya mwanzo imepigwa BAN, Kyagata yupo hajapotea.Ohy.. hayo mambo ya Wizy hamjayaacha tu..? Postini mikeka ya placements hapa.. kama ni yeye na hataki kuji-expose kuna shida gani bhana.. Kila mtu abaki na anachokiamini..
Walikuwa wengi humu founders wa huu Uzi kama @lermax, Shombe la kisomali, kyagata na wengine wengi..hao wote now hawapo humu Ila mbona hamuwazungumziii..?