Jaribu kwauliza na wenzio mliofanya kada mojaselected for oral. yaani imeganda ivo ivo. cjui nimekandwa
Karibu kaka, yaan ata wewe ukitaka badilisha leo from Mwifwa dunia nzima ikujue kama Maryjuan unaruhusiwa, ili mradi uweke sababu tu ya kufanya hivyo sio unajibadilishia badilishia tu
Wewe jamaa ua unazingua kuhusu status! Sijui hata ulitokea wapiHapo
Jaribu kwauliza na wenzio mliofanya kada moja
Akiwa na sababu ya kubadili jina haina shida jinsia itabaki ile ile[emoji23]Kwamba abadili jinsia?!( Joke)
Wizy ukitoka job uje utoe muongozo huku.GUYS MSAADA
Kuna bi dada ameitwa kwenye usaili MWANZA
Amesomea bee-keeping ngazi ya Diploma .
Alituma maombi kwa post ya BEEKEEPING ASSISTANT OFFICER .
ANAULIZA kama kuna mtu anayafahau maswali kwenye interview amsaidie apate mwanga kidgo
Wanaaza written wanamalizia Oral
Shushen maswali hapa
sawa kakaWengi waliofanya December wanasema hawajaona mabadiliko Hadi leo.. Subiri kufikia mwezi wa pili(February) oene itakuwaje kabla ya kutoka replacement
Wewe jama una shida sana, watu wakiwa wanajadili kuhusu status na mabadiliko yake, huwa una-mind sana, huyo jamaa amekushangaa kuona ulivyokua kinyonga, awali, umepongeza MDA's kutoa mkeka, watu wapo bize kujiandaa, wapumzike kujadili status, punde wewe ndo umegeuka mtoa ushauri katika kujadili maswala ya status, ambayo wakiwa wanajadili wengine, una-mind.Ety ulitokea wapi,,, hv unajielewa kweli wewe..? Unataka kujua wote humu tumetokea wapi..!! Kwanza wewe ni nani kapuku mmoja wewe MshambaMshamba. Jamaa kaja kudoubt kuhusu status yake, me Kumpa muongozo imekuwa shida. Dogo kama unataka kupambana na Mimi jipange saaaaaaana nitakuzingua konokono wewe
Hahahaaa, hii shule ya Affidavity na deed poll imepenya kama mkando PSRS.Karibu kaka, yaan ata wewe ukitaka badilisha leo from Mwifwa dunia nzima ikujue kama Maryjuan unaruhusiwa, ili mradi uweke sababu tu ya kufanya hivyo sio unajibadilishia badilishia tu
Hapo vizuriiiHahahaaa, hii shule ya Affidavity na deed poll imepenya kama mkando PSRS.
Siku nikedisplace my docx sitapata shida ya muongozo wa kuanzia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba abadili jinsia?!( Joke)
Sijawahi kumaind kwa ajili ya Status, INAWEZEKANA wapo woga wa status humu Ila sio Mimi kama una ushaidi wa unachokinena basi weka ushaidi wako humu sehemu niliyomaind. But kama mtu kataka muongozo au kaulizia Kuna shida gani hapo we DOGO wa Dar..?Wewe jama una shida sana, watu wakiwa wanajadili kuhusu status na mabadiliko yake, huwa una-mind sana, huyo jamaa amekushangaa kuona ulivyokua kinyonga, awali, umepongeza MDA's kutoa mkeka, watu wapo bize kujiandaa, wapumzike kujadili status, punde wewe ndo umegeuka mtoa ushauri katika kujadili maswala ya status, ambayo wakiwa wanajadili wengine, una-mind.
Hii inaonesha namna gani huwa unakereka na haya mambo "bro" wa kigoma.Bora PSRS wametoa hii mikeka, Sasa watu wako bize na Mikando tumepumzika mambo ya "STATUS"
Hata haimainishi kunikera Ila tu nilizungumzia.. mwenyewe napenda tu watu wanaoleta ushuhuda wa status maana inaniweka aware BUT kinachokera ni zile blaming za watu wengine wasiopenda kama WEWE ambazo zinaleta vurugu humu na mijadala isiyoisha..Hii inaonesha namna gani huwa unakereka na haya mambo "bro" wa kigoma.
Bado mkuu, but be attention mida ya jioni Leo nahisi Kuna supprisePlacements za October, November, December 2022, Bado hazijatoka tu wadau huko?? Hamna New???
HahahaaPunguzeni makasiriko vijana..ujobless unaleta makasiriko sana naona baadhi ya vijana umu
Hahahahahahh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguzeni makasiriko vijana..ujobless unaleta makasiriko sana naona baadhi ya vijana umu