Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi nafurahi sana kuona ushirikishwaji wa kila hatua ndugu zangu mnaotuambia, hakika inatia moyo sana kwa sisi tunaosubiri placement na interview,,,Mkawe mabalozi wazuri katika utumishi wa umma. Hakika maisha ni. Safari na sote tutafika kwa nyakati tofauti, Mungu ni Mwema kwetu sote. Ameeen
 
Kubali tu kuwa hilo swali umechemka,omba Mungu hayo mengine uliyoyafanya yakuendee vizuri uitwe oral mkuu.otherwise usilazimishie majibu yako ndio yawe ya kweli.na pia usitulishe matango pori mzee
Usimbishie mtu,huenda ni miongoni mwa waliondaa hayo maswali hivyo majibu anayajua au ni miongoni mwa wanaosahihisha.maana jamaa ametoa majibu kwa kujiamini mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…