Yule si mlishampiga spana aache tamaaKuna yule Tutorial Assistant mpya wa Chuo Cha Kilimo Nyerere Butiama,, alikuwa akizisubiria sana hizi za TPDC licha ya kupata kazi.. Yuko wape yule mbona kimya...!!!
Kumbe unamkumbuka mkuu.. nimemtag hapo naona Sasa Yuko buzy huko Butiama Maporini maana alisema mwenyewe kuwa ni Maporini 😁 So anahitaji kazi za allowance kubwa na ziko mjiniYule si mlishampiga spana aache tamaa
PoaMkuu ukiona wameanza kuweka namba za Usaili huko niTag
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe unamkumbuka mkuu.. nimemtag hapo naona Sasa Yuko buzy huko Butiama Maporini maana alisema mwenyewe kuwa ni Maporini [emoji16] So anahitaji kazi za allowance kubwa na ziko mjini
Mkuu, haumo humo safari hiiWale wa tpdc
Nimo mkuu,sema nafasi 2 tu then watu 2000+Mkuu, haumo humo safari hii
Asali yake tamu sana kule nadhaniNimo mkuu,sema nafasi 2 tu then watu 2000+
Usikate tamaa, kama una nafasi usisite kutokea, huo ni usaili wa kazi.Nimo mkuu,sema nafasi 2 tu then watu 2000+
🤣🤣🤣🤣Tsg d ununue Subaru labda bajaji
Labda akope inaruhusuliwa kuvuta 30M+ Kwa Mshahara wa TGS D[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Au sio kaka unawrza ukaomba TGS D ukashangaa umetupiwa PRSS1[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji15]Tayari hizi mkuu TUMEITWA USAILI UDOM CIVE TAR 29 JANUARY SAA 7 MCHANA WRITTEN NA TAR 5 FEB SAA1 ORAL MIGIRO
SHTUKA CHAP. BADO KUPEWA NAMBA TU KWENYE WEB.
Zimetoka kwenye pdf refu lile la kuitwa usaili taasisi mbalimbali.
Mimi bado mkuu.. hebu nisubiri jioni...Namba za usaili zishaanza kuwekwa, kindly be informed.
Hakuna usaili bila namba mkuuMimi bado mkuu.. hebu nisubiri jioni...
Hv ukiitwa Oral pekee kunakuwa na namba..?
Mkuu hiyo pdf siioni ajiraportal.Tayari hizi mkuu TUMEITWA USAILI UDOM CIVE TAR 29 JANUARY SAA 7 MCHANA WRITTEN NA TAR 5 FEB SAA1 ORAL MIGIRO
SHTUKA CHAP. BADO KUPEWA NAMBA TU KWENYE WEB.
Zimetoka kwenye pdf refu lile la kuitwa usaili taasisi mbalimbali.
Humu pia ilitumwaMkuu hiyo pdf siioni ajiraportal.
Mkuu umepata namba kwenye account yako..?Humu pia ilitumwa