Mwaisa1202
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 482
- 1,076
Taasisi ganiWakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
Mie nilipiga oral ya ADEM tarehe 16 mwezi 9 nadhani mkeka wetu hadi mwezi ujao...ngoja tuvute subraWakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
Hongeraa sana kiongoz, mungu akutangulie kaziniWakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
Naona post ya SOCIAL WELFARE OFFICER II wamepata wengiNaona placement ishatoka sasa
Asante sana mkuuHongera sana
Asante sana Mkuu, AmiiynHongeraa sana kiongoz, mungu akutangulie kazini
Hongera sana mkuu. Kila la kheri ukawe mtumishi mwema na bora, kazingatie maadili na miiko ya utumishi. Zile nyodo na majivuno siyatarajii kwa mpambanaji wa namna yako, hayo mambo waachie wanaovutwa kwa mserereko bila kujua msoto wa kupambana.Wakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
Hongera sana Mungu awe nawe muda woteWakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Hongera sana baba..Wakuu nimetoboa Alhamdulillaah, ambao hamjapata nawatia moyo, sitasahau huu uzi umenipa matumaini sana.
Ifm badoHongereni wote mliotoboa na ambao bado tuendelee kukomaa…nilitaka kuuliza izo placements zilizotoka ni adi ifm?
Swali gani hilo walirudia?Ndio Tena swali like lile la veta limerudi IAE
Wakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Wakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Hongera sana kapambane kawe mtumishi bora,veta wako vizuri sanaWakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Asante sana mkuuHongera sana kapambane kawe mtumishi bora,veta wako vizuri sana
Hela ipo veta sio?Hongera sana kapambane kawe mtumishi bora,veta wako vizuri sana
Nipe maswal mkuu mana nimeomba vocational tutor nasklizia mkeka hapaAsante sana mkuu
Ya ICTNipe maswal mkuu mana nimeomba vocational tutor nasklizia mkeka hapa
Vocational tutor kada gani?Nipe maswal mkuu mana nimeomba vocational tutor nasklizia mkeka hapa
Sio mbaya sanaHela ipo veta sio?