mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hayo ni mtazamo wangu,sio kila nachoweza kusema kinaweza kuwa sawa...Sawa mkuu
Katika hili naona liachwe tu.. ila mtu ukiwa msaka mrija kuna midadi flani lazima uwe nayo inakufanya muda wote uwe tu unachungulia chungulia hata kama hutakiHayo ni mtazamo wangu,sio kila nachoweza kusema kinaweza kuwa sawa...
Watu hawajui kuna watu tumaini letu kubwa liko apo lazima uchanganyikiwe kama huelewi mambo ya status kuchangeKatika hili naona liachwe tu.. ila mtu ukiwa msaka mrija kuna midadi flani lazima uwe nayo inakufanya muda wote uwe tu unachungulia chungulia hata kama hutaki
Ni kweli mtaalamu... ila ushauri kutoka kwangu usiweke tumaini kubwa kwa hawa jamaa (PSRS) iandae vyema saikolojia yakoWatu hawajui kuna watu tumaini letu kubwa liko apo lazima uchanganyikiwe kama huelewi mambo ya status kuchange
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
HakikaNi kweli mtaalamu... ila ushauri kutoka kwangu usiweke tumaini kubwa kwa hawa jamaa (PSRS) iandae vyema saikolojia yako
Inawezekana kweli status zikawa hazina maana ila inatakiwa tupate ushuhuda wa mtu aliyeandikiwa Not Selected For null kwenye app akalamba mrija, then tumpate alieandikwa not selected for Oral baada ya written then akaruhusiwa kufanya Oral Interview kama yupo atatuondolea huu utata wa hizi status na tutajua kuwa hazina maana na wanaweka kwa kujifurahisha tu.Mkuu acha tuu tucheke tupunguze stress za kusubiria placement maana hakuna namna. Wakati nasoma programming, "null" ilikua code ya nothing yaani sifuri au hamna kitu.
Yeah currently maswali yanakuwa ya kada husika na oral pia ni ya kada husika. Kama umeomba position ya Economist grade 2 jiandae kukutana na maswali matano oral manne ya darasani na moja ya uelewa ambalo linaweza kuwa la education background au tell us about your self.Hivi kumbe maswali huwa yanahusu taaluma yako?
Mimi nilidhani ni random question za uelewa tu.
Na oral ni hivyo hivyo?
Ety mkuu,, hili la education background Huwa linalimit,yaan halitakinuseme vitu vingine Kam aexperience, yaaan vinataka ujibu level zako za elimu tu..?Yeah currently maswali yanakuwa ya kada husika na oral pia ni ya kada husika. Kama umeomba position ya Economist grade 2 jiandae kukutana na maswali matano oral manne ya darasani na moja ya uelewa ambalo linaweza kuwa la education background au tell us about your self.
ebwaanaaa eeeeeh 😰 afu dk 50 tuMaswali tuliyoulizwa ya finance TPDC ni haya
1. Explain what is Pandemic emergency financial facility and why is nneded
2. Ways in which financial development impact economic growth
3. Distinguish between financial capital maintenance and physical capital maintenance
4. Financial planning consider the important parties mention it
Nisaidie jambo moja hapa nataka kufahamu toka kwako mkuu, nafikiri unasubiria placement/placements sasa nifahamishe, ulipoingia kwa interview ya oral, panelist wako hakukuuliza kwa kukuongoza/kufafanua katika swali hilo kuwa anataka kusikia nini toka kwako?Ety mkuu,, hili la education background Huwa linalimit,yaan halitakinuseme vitu vingine Kam aexperience, yaaan vinataka ujibu level zako za elimu tu..?
Vipi mkuu leo hayajadiliki hapa haya maswali, hata moja mkuu?Maswali tuliyoulizwa ya finance TPDC ni haya
1. Explain what is Pandemic emergency financial facility and why is nneded
2. Ways in which financial development impact economic growth
3. Distinguish between financial capital maintenance and physical capital maintenance
4. Financial planning consider the important parties mention it
Haya maswali sio rahisi, unahitaji utulivu kuyajibu, niwatakie kila lenye kheri na sina la kuwalaumu kwa matokeo yoyote hapo, as naamini most of you guys mmejibu kutokana na uelewa tu.Maswali tuliyoulizwa ya finance TPDC ni haya
1. Explain what is Pandemic emergency financial facility and why is nneded
2. Ways in which financial development impact economic growth
3. Distinguish between financial capital maintenance and physical capital maintenance
4. Financial planning consider the important parties mention it
Hii ngoma ni ya moto sana mkuu. Hakika ni ya moto.Haya maswali sio rahisi, unahitaji utulivu kuyajibu, niwatakie kila lenye kheri na sina la kuwalaumu kwa matokeo yoyote hapo, as naamini most of you guys mmejibu kutokana na uelewa tu.
Dah!...kwa dakika 40 mnazopewa lazima akili yako iwe 'sharp' kufikiri na kujibu vizuri..... anyway endeleeni kukomaa mpaka kieleweke.Maswali tuliyoulizwa ya finance TPDC ni haya
1. Explain what is Pandemic emergency financial facility and why is nneded
2. Ways in which financial development impact economic growth
3. Distinguish between financial capital maintenance and physical capital maintenance
4. Financial planning consider the important parties mention it
Hawakupi muongozo kabisa wao wanauliza tu then wanakusikiliza ww..Nisaidie jambo moja hapa nataka kufahamu toka kwako mkuu, nafikiri unasubiria placement/placements sasa nifahamishe, ulipoingia kwa interview ya oral, panelist wako hakukuuliza kwa kukuongoza/kufafanua katika swali hilo kuwa anataka kusikia nini toka kwako?
Kwa uzoefu wangu mdogo, panelist katika swali hili humuongoza msailiwa kwa kumueleza anataka vitu gani specific.
Yeah hili la elimu linataka useme tu education background kama pale unapoandikaga kwenye CV education background from primary, secondary, advanced level mpaka university.Ety mkuu,, hili la education background Huwa linalimit,yaan halitakinuseme vitu vingine Kam aexperience, yaaan vinataka ujibu level zako za elimu tu..?
Yaah kuna wengine wanaulizwa education background kuna wengine wanauliza education background and working experience so inategemea utaulizwa vipi hapoHawakupi muongozo kabisa wao wanauliza tu then wanakusikiliza ww..
Mimi au sisi kwenye Oral yetu walituuliza (Express your self and background)
So Kuna jamaa yangu yeye alitaja jina lake, Umri wake na level yake moja tu ya elimu kwamba degree na jina la chuo alichosoma. So yule panel mmoja akamwambia Education background basi akaanza kutaja kuanzia primary mpaka Ile degree yake.
Hvyo nili-note kitu kuwa wanataka sana hapa kwenye level za elimu.
Pale unavyotaka shule na vyuo ulivyosoma huwa wanarefer kwenye vyeti.. utaona kabisa anachungulia kwa umakini yule jamaa. Sasa jikoroge uone😂😂
Kwenye hili education background, kuanza na kutaja jina, unakotoka/kuzaliwa na miaka yako then education background itakuwa uko tofauti/Haitakiwi..?Yeah hili la elimu linataka useme tu education background kama pale unapoandikaga kwenye CV education background from primary, secondary, advanced level mpaka university. Go direct to the question and answer usizunguke sana ili usiwachoshe. But I stand to be corrected maana naona Kuna tofauti kati ya Tell us about yourself and Education background. Nawasilisha.
Kaka haya maswali ni kusali sana na kuomba sana PSRS sometimes unaweza kuwachukia lakini Wana akili sana na wanajua wasailiwa wawashike wapi all in all Mungu wetu ni Mungu wa rehema.[emoji120]Vipi mkuu leo hayajadiliki hapa haya maswali, hata moja mkuu?