yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Hongera sana tena mno mungu akakutangulie katika kazi zakoNaamimi namshukuru Mungu nimepata....nawatia moyo wenzangu ipo pia siku yenu.
Selected for oral mkuuEbu mkuu tuweke sawa, hii uliyopata ni ile iliyosema shortlisted au ile iliyosema selected for oral interview. Ila nasi tujue maana ya hizi comment kwenye portal account
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hongera sana mkuu..Naamimi namshukuru Mungu nimepata....nawatia moyo wenzangu ipo pia siku yenu.
Pepa 3 SI mchezo mkuu ngoja nikichekeshe kidogo mie Ilikua kila nikipiga Pepa nasepa stand kusubir matokeo Kuwa nikiona tu not selected nipande gari nisepe so mfano natoka kwenye Pepa saa Tano mfano written nazuga kidogo huyo stand kuu hahahha😂 nikaaa nawait mpka saa tatu usiku ni mwendo wa kurefresh ajira potal bila wakitoa matokeo nimepenya safari ya kurudi Sabasaba inaanza nakuta guest zote za bei ndogo zimejaaa natembea sana mpka napata chumba nipo hoviez hahahahaha practical Tena hivyo hivyo duh mkeka ukitoka nipo duh narudi Tena Town Kuna jamaa pract alisepa kufika mbele huko sijui gairo akaona mkeka yupo akarudi hahhahaa noma so Pepa 3 kupita zote mungu tu anasaidia kwa kweliUtumishi watufikirie watu wa ict tuna haso sana hizi pepa 3 aisee mtu akifika oral wampe kazi
😂😂😂😂Pepa 3 SI mchezo mkuu ngoja nikichekeshe kidogo mie Ilikua kila nikipiga Pepa nasepa stand kusubir matokeo Kuwa nikiona tu not selected nipande gari nisepe so mfano natoka kwenye Pepa saa Tano mfano written nazuga kidogo huyo stand kuu hahahha😂 nikaaa nawait mpka saa tatu usiku ni mwendo wa kurefresh ajira potal bila wakitoa matokeo nimepenya safari ya kurudi Sabasaba inaanza nakuta guest zote za bei ndogo zimejaaa natembea sana mpka napata chumba nipo hoviez hahahahaha practical Tena hivyo hivyo duh mkeka ukitoka nipo duh narudi Tena Town Kuna jamaa pract alisepa kufika mbele huko sijui gairo akaona mkeka yupo akarudi hahhahaa noma so Pepa 3 kupita zote mungu tu anasaidia kwa kweli
Hahaja very interestingPepa 3 SI mchezo mkuu ngoja nikichekeshe kidogo mie Ilikua kila nikipiga Pepa nasepa stand kusubir matokeo Kuwa nikiona tu not selected nipande gari nisepe so mfano natoka kwenye Pepa saa Tano mfano written nazuga kidogo huyo stand kuu hahahha😂 nikaaa nawait mpka saa tatu usiku ni mwendo wa kurefresh ajira potal bila wakitoa matokeo nimepenya safari ya kurudi Sabasaba inaanza nakuta guest zote za bei ndogo zimejaaa natembea sana mpka napata chumba nipo hoviez hahahahaha practical Tena hivyo hivyo duh mkeka ukitoka nipo duh narudi Tena Town Kuna jamaa pract alisepa kufika mbele huko sijui gairo akaona mkeka yupo akarudi hahhahaa noma so Pepa 3 kupita zote mungu tu anasaidia kwa kweli
Ilikua networkingHahaja very interesting
Kwenye oral ulichagua ufundishe topic gani mkuu?
Written iliku multiple choice au maswli ya kuandk?Ilikua networking
Kwa wanaodanganya watajua wao wenyewe,wee pongeza kiroho safi tuu...Mhh ! Kila mtu katoboa humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa hiyo jobless tumebaki wangapi ?
Multiple choiceWritten iliku multiple choice au maswli ya kuandk?
Poa kkMultiple choice
Mimi na weweMhh ! Kila mtu katoboa humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa hiyo jobless tumebaki wangapi ?
Taja chuo ulichosomaWadau inakuwaje ? Mimi Kuna post ya tutorial assistant sijawa shortlisted na sababu wameniwekea .
Training Institution not Accredited by TCU
Sasa hapo sijawaelewa wakuu kwamba Taasisi iliyonitrain haitambuliki na TCU au imekuwaje ?
NOTE:MIMI NIMEMALIZA MASOMO KWENYE TAASISI KAMA DIT,TIA,IAA HALAFU NILIOMBA POST ILIYOTOLEWA NA VYUO VIKUU KAMA MZUMBE,UDSM,UDOM.
aliyenielewa naomba anielekeze.
Wadau inakuwaje ? Mimi Kuna post ya tutorial assistant sijawa shortlisted na sababu wameniwekea .
Training Institution not Accredited by TCU
Sasa hapo sijawaelewa wakuu kwamba Taasisi iliyonitrain haitambuliki na TCU au imekuwaje ?
NOTE:MIMI NIMEMALIZA MASOMO KWENYE TAASISI KAMA DIT,TIA,IAA HALAFU NILIOMBA POST ILIYOTOLEWA NA VYUO VIKUU KAMA MZUMBE,UDSM,UDOM.
aliyenielewa naomba anielekeze.