Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wengine zinabadilika badilika kwenye app mara selected for null,mara practical mara oral tunashindwa kuelewa.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
huko kubadilika kwa mtazamo wang naona ni suala la faults t za system yao lakn hazireflect chchte ktka matokeo ya mwisho nionavyo....kikubwa ksbria t pdf
 
Haka kamtaa kana jam fulani hivi inayovutia mida ya kwenda kazini na kutoka.

Ofisi za serikali zimejipanga humu ingawa ni chache/kiduchu ukilinganisha na zilizopo
Mkuu yule jamaa aliekupaga lift na IST(anafanya kazi kiwandan) ambae ulikua unasema kashapiga hatua sana na mmemaliza wote anajua kama upo sehemu hotcake saivi?
 
Mkuu yule jamaa aliekupaga lift na IST(anafanya kazi kiwandan) ambae ulikua unasema kashapiga hatua sana na mmemaliza wote anajua kama upo sehemu hotcake saivi?
Atakuwa kashajua maana hii kitu haifichiki.

Ila huku sio hotcake ni mwendo wa overload na maripoti hatari, muda wa kutoka kazini ni saa 9:30 ila watu wanapitiliza hadi saa 11 jioni wakiwa busy na maripoti.
 
Hongereni wote mliopata mrija wa HESLB mkawe watumishi wema.

Jitahidini sana kwenye kutuhudumia vizuri, mumepambana kupata hizo nafasi hatutarajii kuona mnatuhudumia kama wale ambao wanasogezewa barua ya kazi bila kuisotea kama ninyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…