Kwanini uvccm wamejificha kujadili report ya CAG?

Kwanini uvccm wamejificha kujadili report ya CAG?

Pac the Don

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
6,170
Reaction score
7,710
Yaani mpaka mwadawa mtoto wa hayati Bob analia kuhusu ufisadi lkn uvccm wala hawana habari!!
FB_IMG_16809680020773438.jpg
 
Wanatambua kiwa zile ni audit queries tu, acha mchakato ukamilike. Tuliache bunge lifanye kazi yake.

Otherwise unaweza kuendelea kujifurahisha kwa kujadili vitu ambavyo hauna taarifa kamili, mwisho wa siku unaishia kulalamika kuwa hauoni hatua zilizochukuliwa.
 
Auditing report ni kitu cha kawaida sana kwa nchi au shirika lolote
Auditing report sio kitanzi
Hakuna auditing report isiyo na queries na hizo ndio zinatumika kufanya maboresho na maamuzi mapya
 
Wanatambua kiwa zile ni audit queries tu, acha mchakato ukamilike. Tuliache bunge lifanye kazi yake.

Otherwise unaweza kuendelea kujifurahisha kwa kujadili vitu ambavyo hauna taarifa kamili, mwisho wa siku unaishia kulalamika kuwa hauoni hatua zilizochukuliwa.
Hii Nchi ina mamb ya ajabu san mamb ya kitaalam na kielimu ambayo ni reality kwa mujibu wa auditors eti yanapelekwa kwa wanasiasa wajadili 🤣🤣🤣
 
Auditing report ni kitu cha kawaida sana kwa nchi au shirika lolote
Auditing report sio kitanzi
Hakuna auditing report isiyo na queries na hizo ndio zinatumika kufanya maboresho na maamuzi mapya
Ile over invoice ya ndege duh
 
Auditing report ni kitu cha kawaida sana kwa nchi au shirika lolote
Auditing report sio kitanzi
Hakuna auditing report isiyo na queries na hizo ndio zinatumika kufanya maboresho na maamuzi mapya
Na huu ujinga ndio unafanya kama Nchi iendelee kutafunwa na mafisadi!! Queries my foot!!
 
heshimuni mamlaka pia uchambuzi yakinifu ni muhimu ndugu
 
Wanatambua kiwa zile ni audit queries tu, acha mchakato ukamilike. Tuliache bunge lifanye kazi yake.

Otherwise unaweza kuendelea kujifurahisha kwa kujadili vitu ambavyo hauna taarifa kamili, mwisho wa siku unaishia kulalamika kuwa hauoni hatua zilizochukuliwa.
Huu ndio upuuzi umekufikisha Taifa hapa, na kwa mtindo huu wa kuwapelekea wanasiasa kujadili mamb ya kitaalam ufisadi hautoisha au kupungua!! Wataenda kusawazisha sawazisha halaf wanasema aaah hawa au huyu ni mwenzetu!! Imeisha ivo!!
 
Back
Top Bottom