Pac the Don JF-Expert Member Joined Feb 17, 2021 Posts 6,170 Reaction score 7,710 Apr 9, 2023 Thread starter #41 Santos06 said: Wapi wamesema wamejificha Click to expand... Nni hiki umeandika, itakua haupo dunia hii!!
Santos06 said: Wapi wamesema wamejificha Click to expand... Nni hiki umeandika, itakua haupo dunia hii!!
D Dawa ya Uvccm JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 2,223 Reaction score 4,717 Apr 9, 2023 #42 mama D said: Na ndio faida ya auditing Ingejulikanaje Click to expand... sasa hio hoja yako unayosema ni jambo la kawaida na kutuambia sijui audit queries tu hizo, unajua kuwa mwisho wa siku mdhibiti hutoa hati za aina tofauti tofaut na kama ingekuwa kawaida kusingekuwa na aina tafauti ya hizo certificates.
mama D said: Na ndio faida ya auditing Ingejulikanaje Click to expand... sasa hio hoja yako unayosema ni jambo la kawaida na kutuambia sijui audit queries tu hizo, unajua kuwa mwisho wa siku mdhibiti hutoa hati za aina tofauti tofaut na kama ingekuwa kawaida kusingekuwa na aina tafauti ya hizo certificates.
Mfikirishi JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 8,939 Reaction score 10,403 Apr 9, 2023 #43 uvcc? Je unawafahamu au unawasikiaga tu!?
K Kamongo JF-Expert Member Joined Mar 20, 2009 Posts 2,190 Reaction score 2,485 Apr 9, 2023 #44 Daudi Mchambuzi said: Uvccm wao kazi yao ni kulamba miguu na kushangilia baada ya kupewa bahasha ya kaki View attachment 2581189 Click to expand... Chura wa tanesco wanaishi maisha mazuri kuliko uvccm
Daudi Mchambuzi said: Uvccm wao kazi yao ni kulamba miguu na kushangilia baada ya kupewa bahasha ya kaki View attachment 2581189 Click to expand... Chura wa tanesco wanaishi maisha mazuri kuliko uvccm
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 11,936 Reaction score 15,196 Apr 9, 2023 #45 Tate Mkuu said: uvccm ya sasa inaundwa na vijana wa hovyo sana. Kwanza hata uongozi wake tu haujulikani! Click to expand... Utawasikia free sabaya. Sabaya hana kosa anaonewa nk
Tate Mkuu said: uvccm ya sasa inaundwa na vijana wa hovyo sana. Kwanza hata uongozi wake tu haujulikani! Click to expand... Utawasikia free sabaya. Sabaya hana kosa anaonewa nk